Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,779
- 78,447
- Thread starter
- #1,581
Huko Kenya Mchina anazidisha maumivu!Wamefikia hatua nzuri sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko Kenya Mchina anazidisha maumivu!Wamefikia hatua nzuri sana...
Mswahili ndo nani...hhhhh!!usituletee kiswahili cha kijinha cha tanzania hapaHao wanajifurahisha tu, hapo ni kama wanacheza game ya SEGA! wachina wamekunja sura wana komaa na ajira zenu. Uhuruto wamesign mikataba mchina haondoki mpaka 2027 kwenda mbele. Mswahili akigusa mlango wa kichwa cha train tu anakula teke la shingo..
Hhhh!!!endelea ku qoute tweets za ndii...hhhhh!!!Chinese first class for Kenya!
Kamuulize tundu lissu labda atakuwa na ufahamu..jiwe atakupoteze..Hivi hapa kunafaa kuwa na daraja au ni upumbavu tu mnafanya
Umeona systems hadi umepagawa...sasa unaruka rukaOutdated Block Signalling System! It's like u bragging of landline phone while there's mobile phones!
Wajinga hawa..hawafikirii mbele akili zao huwaza historia tuHio hapo ni road reserve na haifai kuguswa na muindombinu ya aina yoyote, Kuna barabara inafaa kujengwa hapo in future
Kwani Kenya mnajua tu wakikuyu na wajaluo pekee??Hizi ndizo wanaendesha wachina? Sio wakikuyuu na wajaluo? Duuuu
Kwakweli huu ni mfano mzuri kwa nchi jirani, nadhani Uganda na Rwanda nao pia watafanya hivyo...
No moving wagon scanners! See Dar port
Hivi yenu ina uzito ganihivi taruma moja kwa sgr ya kenya lina uzito gani?
Ndo maan mchina anawaibia hadi mauzo ya ticket maana ashawaona nyie n mazuzuHio hapo ni road reserve na haifai kuguswa na muindombinu ya aina yoyote, Kuna barabara inafaa kujengwa hapo in future
300 kgHivi yenu ina uzito gani
Leta kitu na evidence, preferably pia ikiambatana na number of sleepers per km300 kg
sasa si ujibu swali kisha uliza lako?Hivi yenu ina uzito gani