regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 51
Ndugu wanajamvi, Hivi unaweza kuamini kwamba kwa kipindi cha kuanzia mwaka 1995 hadi leo 2011, kiasi cha Bilioni 91 kimeokolewa kutokana na kesi mbalimbali zinazohusu rushwa?
Je unaweza kuamini kwamba kati ya tuhuma 49,456 za rushwa zilizoripotiwa ni tuhuma 459 tuu ndio zilitolewa hukumu? Na je unafahamu kuwa kati ya kesi 49,456, ni kesi 16,456 tuu ndio zilifanyiwa uchunguzi?
kaaz kwelikweli.
Nimeattach file katika uzi huu ili uweze kupata taarifa mbalimbali za rushwa.
Nawasilisha
View attachment Corruption Almanac.pdf
Je unaweza kuamini kwamba kati ya tuhuma 49,456 za rushwa zilizoripotiwa ni tuhuma 459 tuu ndio zilitolewa hukumu? Na je unafahamu kuwa kati ya kesi 49,456, ni kesi 16,456 tuu ndio zilifanyiwa uchunguzi?
kaaz kwelikweli.
Nimeattach file katika uzi huu ili uweze kupata taarifa mbalimbali za rushwa.
Nawasilisha
View attachment Corruption Almanac.pdf