Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,851
- 16,748
Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale.
Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kusikia hilo. Yaani furaha imenijaa.
Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.
Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.
Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake kwa kichanga unavyoitwa, na akasema ni mchungu, na hiyo mimea iko mingi Moshi, na akapima mara nyingine amekutwa negative, yaani hana maambukizi, nimepata matumaini sana sana kusikia hilo. Yaani furaha imenijaa.
Ningeomba serikali yangu sikivu, ifuatilie kwa ukaribu sana mmea huo tena kwa speed kubwa sana, Mungu tusaidie. Mama Anna atusaidie tuujue vema huo mmea.
Mungu mbariki Mh. Rais wetu, John Pombe Magufuli, Mungu ibariki Tanzania.