Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,302
- 1,337
Tunaiabudu uingereza, tunaona bila uingereza hatuendi mbinguni, kama vile waingereza ndio tiba ya matatizo yetu, waingereza wamekuwa miungu watu.
Hii ibada yetu mwisho lini?
Hii ibada yetu mwisho lini?