Coronavirus: Ubalozi wa Uingereza wasema Tanzania ni "Red list Country"

Usiropoke usichokijua.

Taarifa rasmi za utafiti:

1) Matumizi ya chanjo UK, yamepunguza vifo kwa 60%

2) Matumizi ya chanjo Israel yameounguza vifo kwa 94%

Wenzetu wanaenda kwa tafiti na takwimu, sisi maabara yetu ipo kichwani mwa Magufuli. Yeye ndiyo maabara, yeye ndiye research centre, yeye ndiye database - upumbavu mkubwa!

Dunia ya wenye akili, siku zote ni utafiti na takwimu, siyo huu uwendawazimu wa matamko.
Ndiyo maana nikasema chanjo ni wendawazimu kwa ajili ya wendawazimu. Hiyo Uingereza inateswa na hiki "kirusi kipya kilichoanzia Congo na SA". Wewe unakuja hapa na kudai chanjo imewasaidia! Huo ndiyo wendawazimu ninaousema.

Asilimia kubwa ya mnaolilia hiyo chanjo mnafanya hivyo kwa sababu ya mrengo wa kisiasa. Siamini kama kweli akili zenu zinaafikiana na siasa hizi za chanjo. Ni ile tu mnashindwa kuweka mpaka baina ya chuki zenu kwa Magu na serikali yake na masuala mengine kama haya yanayohitaji utashi usio wa kisiasa.
 
Mmekomaa mnashika bango bila kutumia akili. Uk chanjo imepunguza vifo kwa 60% lini!???... Kutoka watu wangapi kwa siku mpaka wangapi?.. kwa takwimu za Jana wamekufa watu 799 ndo wamepungua?, Angalia trend yao ya tangu mwaka jana halafu uone na ulichoandika hapa. Halafu chanjo yao ya AstraZeneca ilinunuliwa last week na South Africa chanjo mil.1 ndani ya siku chache ikaonekana haifai kupambana na kirusi kipya cha COVID ambacho kimeshasambaa duniani kote Sasa hivi. Kuna chuo Australia kilitoa chanjo December ndani ya wiki ikaonekana wanaochanjwa wakipima HIV wanakutwa +ve Ila msivyo na akili mmekomalia chanjo. Muda uliowekwa WHO wa research ya chanjo yoyote ni miezi 18, Ila last year march wameanza research November tayari Wana chanjo na mafala mnashangilia tu.
Mkuu, nashukuru kwa kujaribu kuwaamsha hawa watu wanaolilia chanjo ambayo akilini wanajua fika ni ujinga mtupu. Kuna wajinga wengine jirani zetu hapo juu mamungiki. Hawa ilipotoka tu chanjo wakakurupuka kukopa pesa na kuagiza seti laki 8 za chanjo. Siku chache baadae kikaibuka hiki kirusi kipya kinachosumbua kwa sasa ambacho hakikingwi na hiyo chanjo waliyoagiza.

Sasa hawa nyumbu wanataka na sisi tuwe na akili kama hizo!
 
Usiropoke usichokijua.

Taarifa rasmi za utafiti:

1) Matumizi ya chanjo UK, yamepunguza vifo kwa 60%

2) Matumizi ya chanjo Israel yameounguza vifo kwa 94%

Wenzetu wanaenda kwa tafiti na takwimu, sisi maabara yetu ipo kichwani mwa Magufuli. Yeye ndiyo maabara, yeye ndiye research centre, yeye ndiye database - upumbavu mkubwa!

Dunia ya wenye akili, siku zote ni utafiti na takwimu, siyo huu uwendawazimu wa matamko.

Lete source ya hayo unayoongea.
 
waingereza wamechanjwa na kama wamechanjwa wasiwasi wa mini ukishachanjwa si hakuna kuambukizwa tena? hivyo kama chanjo ina aminika hakuna haja yakuzuia watalii lbd kama hiyo chanjo ni ya kupigia pesa.
 
Back
Top Bottom