Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Wizara ya Afya nchini Tanzania imethibitisha kuwepo kwa mgonjwa mpya wa COVIDー19 jijini Dar es Salaam ambaye ni mwanaume (51), raia wa Tanzania.
Wizara inaendelea kuwafuatilia watu wote waliowahi kukutana na mgonjwa huyo. Ongezeko hilo linafanya visa vilivyoripotiwa kufika 25.
Wizara inaendelea kuwafuatilia watu wote waliowahi kukutana na mgonjwa huyo. Ongezeko hilo linafanya visa vilivyoripotiwa kufika 25.