Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Jeshi la Magereza Nchini Tanzania limesitisha huduma zote za kutembelea Wafungwa na Mahabusu kutokana na kutangazwa kwa uwepo wa Virusi vya Corona (COVID-19)
Huduma hizo zikiwemo za Mahabusu kupelekewa chakula zimesitishwa kuanzia jana Machi 18, 2020 hadi hapo itakapotangazwa vinginevyo
Jeshi hilo limebainisha kuwa linaendelea kuchukua tahadhari na hatua kadri litakavyoona inafaa pamoja na kuzingatia miongozi iliyotolewa na Serikali dhidi ya Corona
Huduma hizo zikiwemo za Mahabusu kupelekewa chakula zimesitishwa kuanzia jana Machi 18, 2020 hadi hapo itakapotangazwa vinginevyo
Jeshi hilo limebainisha kuwa linaendelea kuchukua tahadhari na hatua kadri litakavyoona inafaa pamoja na kuzingatia miongozi iliyotolewa na Serikali dhidi ya Corona