Coronavirus kweli ni babalao viongozi wote wameufyata kisa wasiambukizwe!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Kwa utafiti niliyoufanya nimegundua kimya cha viongozi wetu ni khofu kubwa inayowaghubika wakihangaika nayo hii coronavirus wasije kujikuta inawachukua jumla jumla ndiyo maana wamejificha.

Hata uchaguzi hawataki tena ndiyo maana kuna jitihada kubwa zinaendelea kuahirisha nje na ndani ya mahakama zetu..

Kwa nini wanaigopa Coronavirus?

Sababu kubwa afya zao ni mgogoro kila siku baadhi yao wanaishi kwa kudungwa vijisindano au kubugia madawa kwa magonjwa yasiyosikia dawa

Sasa huyu Mheshimiwa Coronavirus kama kuna kitu anachukia ni kuishi kwenye mwili ambao kinga yake iko herani

Hivyo, humpelekesha mgonjwa mautini chapuchapu

Sasa hawa vibosile wameona kheri nusu ya shari kuliko shari nzima wameamua kuufyata

Huko nyuma ni mikutano ya wapinzani tu ilipigwa stop sasa Mheshimiwa Coronavirus yeye ni haki tupu sasa kawapiga stop watawala kufanya kampeni wakidai wako kazini

Sasa Coronavirus kazuia mikutano yote na hata polisi hawapendi kuzozana na watu ambao wanaweza kuwa waathirika wasije kuwaambukiza

Huyu Mungu ni mwema sana pale mwanadamu anacheza faulo Mwenyezi Mungu anamkemea na mdudu ambaye mwanadamu anamsikia lakini hamwoni Teh Teh Teh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa utafiti niliyoufanya nimegundua kimya cha viongozi wetu ni khofu kubwa inayowaghubika wakihangaika nayo hii coronavirus wasije kujikuta inawachukua jumla jumla ndiyo maana wamejificha.

Hata uchaguzi hawataki tena ndiyo maana kuna jitihada kubwa zinaendelea kuahirisha nje na ndani ya mahakama zetu..

Kwa nini wanaigopa Coronavirus?

Sababu kubwa afya zao ni mgogoro kila siku baadhi yao wanaishi kwa kudungwa vijisindano au kubugia madawa kwa magonjwa yasiyosikia dawa

Sasa huyu Mheshimiwa Coronavirus kama kuna kitu anachukia ni kuishi kwenye mwili ambao kinga yake iko herani

Hivyo, humpelekesha mgonjwa mautini chapuchapu

Sasa hawa vibosile wameona kheri nusu ya shari kuliko shari nzima wameamua kuufyata

Huko nyuma ni mikutano ya wapinzani tu ilipigwa stop sasa Mheshimiwa Coronavirus yeye ni haki tupu sasa kawapiga stop watawala kufanya kampeni wakidai wako kazini

Sasa coronavirus kazuia mikutano yote na hata polisi hawapendi kuzozana na watu ambao wanaweza kuwa waathirika wasije kuwaambukiza

Huyu Mungu ni mwema sana pale mwanadamu anacheza faulo Mwenyezi Mungu anamkemea na mdudu ambaye mwanadamu anamsikia lakini hamwoni Teh Teh Teh



Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ni nyoko ingeanza na Nduguyai maana yeye ni compromized immunity
 
Usishangilie magonjwa wewe, hapo kwa akili yako ufupi unafikiri wewe ni mzima sana. Wenda ukienda kupima hospital unaweza kuwa na magonjwa mengi kuliko unayefikiri amejificha. Kujificha inaonyesha mtu yuko serious na responsible, you better stay at home.
Uongo mtupu hakuna maginjwa utakaa nayo usijijue wanaojijua kila siku wanabugia madawa ingawa hawajifunzi wanaendeleza ukatili dhidi ya watu wengine.
 
Ila kusema kweli Rais wetu anatuangusha. Uhuru, Museveni, Kagame wanatoa updates kwa wananchi kila muda. Sisi Rais wetu hatujui anafanya nini? Habari za wagonjwa zimeacha kutangazwa tulipofikia wagonjwa 6! Sasa hata hatujui wameongezeka au la.!Serikali yetu kuna tatizo sehemu flani!


Sent using Jamii Forums mobile app
Sakata la Korona halina Perdiem hana cha ku update wote wamelala
 
IMG_20200322_111343.jpg

Rais John Magufuli ameshiriki ibada ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma leo Machi 22, 2020.
#DailyNewsUpdate #HabariLeoUpdate #Zilizotufikia HabariLeo on Twitter
 
Ila kusema kweli Rais wetu anatuangusha. Uhuru, Museveni, Kagame wanatoa updates kwa wananchi kila muda. Sisi Rais wetu hatujui anafanya nini? Habari za wagonjwa zimeacha kutangazwa tulipofikia wagonjwa 6! Sasa hata hatujui wameongezeka au la.!Serikali yetu kuna tatizo sehemu flani!


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulitaka idadi iwe ngapi kwa mfano ndo ujue serikali iko kazini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa utafiti niliyoufanya nimegundua kimya cha viongozi wetu ni khofu kubwa inayowaghubika wakihangaika nayo hii coronavirus wasije kujikuta inawachukua jumla jumla ndiyo maana wamejificha.

Hata uchaguzi hawataki tena ndiyo maana kuna jitihada kubwa zinaendelea kuahirisha nje na ndani ya mahakama zetu..

Kwa nini wanaigopa Coronavirus?

Sababu kubwa afya zao ni mgogoro kila siku baadhi yao wanaishi kwa kudungwa vijisindano au kubugia madawa kwa magonjwa yasiyosikia dawa

Sasa huyu Mheshimiwa Coronavirus kama kuna kitu anachukia ni kuishi kwenye mwili ambao kinga yake iko herani

Hivyo, humpelekesha mgonjwa mautini chapuchapu

Sasa hawa vibosile wameona kheri nusu ya shari kuliko shari nzima wameamua kuufyata

Huko nyuma ni mikutano ya wapinzani tu ilipigwa stop sasa Mheshimiwa Coronavirus yeye ni haki tupu sasa kawapiga stop watawala kufanya kampeni wakidai wako kazini

Sasa coronavirus kazuia mikutano yote na hata polisi hawapendi kuzozana na watu ambao wanaweza kuwa waathirika wasije kuwaambukiza

Huyu Mungu ni mwema sana pale mwanadamu anacheza faulo Mwenyezi Mungu anamkemea na mdudu ambaye mwanadamu anamsikia lakini hamwoni Teh Teh Teh



Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe ndio haonekani kabisa!
 
Ila kusema kweli Rais wetu anatuangusha. Uhuru, Museveni, Kagame wanatoa updates kwa wananchi kila muda. Sisi Rais wetu hatujui anafanya nini? Habari za wagonjwa zimeacha kutangazwa tulipofikia wagonjwa 6! Sasa hata hatujui wameongezeka au la.!Serikali yetu kuna tatizo sehemu flani!


Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa afya yupo na ndiye dhamana hiyo why atangaza Rais na siyo waziri wa afya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kusema kweli Rais wetu anatuangusha. Uhuru, Museveni, Kagame wanatoa updates kwa wananchi kila muda. Sisi Rais wetu hatujui anafanya nini? Habari za wagonjwa zimeacha kutangazwa tulipofikia wagonjwa 6! Sasa hata hatujui wameongezeka au la.!Serikali yetu kuna tatizo sehemu flani!


Sent using Jamii Forums mobile app
Kam hakuna wgonjwa wapya unatakaje
Acheni siasa,taarifa anatoa waziri wa afya ikibidi zitatoka juu
 
Wewe afya yako ni imara?
Kwa utafiti niliyoufanya nimegundua kimya cha viongozi wetu ni khofu kubwa inayowaghubika wakihangaika nayo hii coronavirus wasije kujikuta inawachukua jumla jumla ndiyo maana wamejificha.

Hata uchaguzi hawataki tena ndiyo maana kuna jitihada kubwa zinaendelea kuahirisha nje na ndani ya mahakama zetu..

Kwa nini wanaigopa Coronavirus?

Sababu kubwa afya zao ni mgogoro kila siku baadhi yao wanaishi kwa kudungwa vijisindano au kubugia madawa kwa magonjwa yasiyosikia dawa

Sasa huyu Mheshimiwa Coronavirus kama kuna kitu anachukia ni kuishi kwenye mwili ambao kinga yake iko herani

Hivyo, humpelekesha mgonjwa mautini chapuchapu

Sasa hawa vibosile wameona kheri nusu ya shari kuliko shari nzima wameamua kuufyata

Huko nyuma ni mikutano ya wapinzani tu ilipigwa stop sasa Mheshimiwa Coronavirus yeye ni haki tupu sasa kawapiga stop watawala kufanya kampeni wakidai wako kazini

Sasa Coronavirus kazuia mikutano yote na hata polisi hawapendi kuzozana na watu ambao wanaweza kuwa waathirika wasije kuwaambukiza

Huyu Mungu ni mwema sana pale mwanadamu anacheza faulo Mwenyezi Mungu anamkemea na mdudu ambaye mwanadamu anamsikia lakini hamwoni Teh Teh Teh

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom