Coronavirus katika wanyama ni hatari kwa utalii Africa

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,652
Imekuwa confirmed sasa kuwa hata wanyama wanapata coronavirus ingawa vifo katika wanyama havijagundulika.

Africa inaongoza kuwa na wanyama wengi na hata miji inaongoza kuwa na loose animals wengi.

Screenshot_20200426-114355_Samsung%20Internet.jpg

Wana-science wamegundua kuwa wanyama wanapata maambukizi ya coronavirus kutoka kwa binadamu ingawa haijawa confirmed kuwa wanyama wanaweza ambukiza binadamu.

Kwasababu huu ugonjwa bado ni mystery, hatuwezi jua Kama wanyama pori wetu wapo salama na covid 19. Hasa wale wanaoishi kwa magroup kama nyumbu, swala, simba etc.

Hofu kubwa ni kuwa hawa wanyama wanaweza kuwa host wa coronavirus. Ivyo basi wakawa wasambazaji wakubwa wa covid 19. If it is the case, huu ugonjwa africa utakuwa out of contral.

Wizara ya maliasili na utalii pamoja na ya Mifugo wanatakiwa waangalie hili mapema iwezekanavyo. La sivyo tunaweza poteza Wanyama pori na mifugo yetu kwa kasi ya ajabu.

Nchi nyingine kama china wameanza kuchukua hatua mapema.https://www.nytimes.com/2020/02/19/health/coronavirus-animals-markets.html

Kwa Tanzania tunatakiwa kuwa makini na wanyama kama mbwa koko ( mbwa wa mitaani), paka wa mitaani na mifugo. Hawa ndyo wasambazaji wakubwa wa covid 19 kwenda kwenye wanyama pori.

Tukipoteza wanyamapori wetu ndyo death sentence ya utalii Tanzania.

responsive_medium_webp_Mvx41zOti-MR_Q25gURKP5zWV8ELt9VE3YMP8hExnic.webp.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mantiki hiyo basi ni dhahiri kwamba coronavirus haitoki kwa popo... Popo si chanzo cha coronavirus... Sababu naye ni mnyama na amekuwa akichangamana na wanyama wengine kabla ya hili janga kitambo sana...

NB: haya ni mawazo yangu... Yanaweza pingana na yako pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mantiki hiyo basi ni dhahiri kwamba coronavirus haitoki kwa popo... Popo si chanzo cha coronavirus... Sababu naye ni mnyama na amekuwa akichangamana na wanyama wengine kabla ya hili janga kitambo sana...

NB: haya ni mawazo yangu... Yanaweza pingana na yako pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna species 1,100 za popo duniani. Sasa haijulikani ni specie gani ipo associated na coronavirus.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua hii kidogo inafikirisha kiongozi

Mimi sielewi huu ugonjwa utoke kwa mnyama uje kwa mwanadamu kisha umuambukize mnyama...
Halafu hapo awali ulishindwa vipi kutoka kwa mnyama kwenda kwa mnyama na tunaambiwa mnyama anao hao wadudu kitambo...

Wataalamu mtusaidie kufafanua zaidi
Kuna species 1,100 za popo duniani. Sasa haijulikani ni specie gani ipo associated na coronavirus.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hatari

Corona ituache kwa kweli
Mtukufu wenu magufuli amesema corona imeisha Tanzania ndiyo maana maambukizi mapya hamna tokea wiki iliyopita Hadi Leo hakuna wagonjwa wapya.....
Alafu nyie maccm ni ngumu Sana kupata maambukizi tofauti na wapinzani

Acha uoga tembea kifua mbele
 
Ni Kweli maambukizi yamepungua
Mtukufu wenu magufuli amesema corona imeisha Tanzania ndiyo maana maambukizi mapya hamna tokea wiki iliyopita Hadi Leo hakuna wagonjwa wapya.....
Alafu nyie maccm ni ngumu Sana kupata maambukizi tofauti na wapinzani

Acha uoga tembea kifua mbele
 
Kwa mantiki hiyo basi ni dhahiri kwamba coronavirus haitoki kwa popo... Popo si chanzo cha coronavirus... Sababu naye ni mnyama na amekuwa akichangamana na wanyama wengine kabla ya hili janga kitambo sana...

NB: haya ni mawazo yangu... Yanaweza pingana na yako pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hisia zangu hii gonjwa asilimia kubwa ni kirusi cha kutengeneza maabara.
Nani katengeneza? Sijui.
 
wanyama wakiisha watalii watakuja kwa wingi wapate kujua waliishaje ishaje!
 
Kwa mantiki hiyo basi ni dhahiri kwamba coronavirus haitoki kwa popo... Popo si chanzo cha coronavirus... Sababu naye ni mnyama na amekuwa akichangamana na wanyama wengine kabla ya hili janga kitambo sana...

NB: haya ni mawazo yangu... Yanaweza pingana na yako pia

Sent using Jamii Forums mobile app

You are likely to be correct unless injected in Bats.
 
Back
Top Bottom