Status
Not open for further replies.
Tunatatizo la professionalism, utakumbuka hata wakati wa Arab spring, wanajeshi wa Misri hawakupiga waandamaji.
Sikubaliani na kuvunja watu mikono ila askari wa misri waliua sana hadi wakachoka hawa wa marekani ndio balaa kabisa akisema on your knees na umesimama anakwambia kabisa am not going to repeat utasikia chuma kinalia ni muhim tuwe na taarifa sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka Weusi walivyonyanyapaliwa kisiwa cha Lampedusa.Chombo walichojazana kilikuwa kina chapwa na mawimbi wanadondoka moja baada ya mwingine majini na kufa.

wakati wazungu wakiwa kwenye boti zao za kasi wala hawaokoi wanawatizama na waliwazuia wasishuke na kusogelea pwani yao.

Mungu tuepushe na corona
 
Wa italiano ni washenzi sana ni wabishi, wagonvi, wakorofi, wanajiona matawi ya juu kiasi kwamba hata raia wa Sweden, Norway na Finland hawapatani kivile kutokana na tabia zao. Sasa corona inawanyosha.
Usitukane mamba hujavuka mto, hapa kwetu ndo kwanza umebisha hodi, sijui utakuja kuwaelezeaje watanzania Kama utakuwepo pale dude hili litakapotamalaki..

Weka akiba ya maneno..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakiendeleza ubaguzi tutakua tunawatishia kitu cha CORONA 😂😂😂😂
Maana wanakufa kama kuku zenye kideli😂😂😂😂😂😂😂
 
mjasilia, Watu weusi ni kituko cha Dunia, akili zenu wengi ni fupi kuliko maisha ya funza

Hapo unawacheka eti na unajiita sijui super race wakati una matatizo kibao ya kudumu kuliko hata huo ugonjwa wa muda mfupi utakaodhibitiwa

ugonjwa wataudhibiti na kuendelea na maisha yao huku wewe ukibaki na umasikini wako na utegemezi wako kwa hao wazungu

Unaanza kujiita super race wakati ugonjwa wenyewe ndio kwanza umeingia Afrika na umewapata watu hatujui vifo vyake vitakuaje bado

Unajiita super race wakati wapo watu weusi wanaoishi Ulaya wamepata ugonjwa huu na wengine wamekufa

Kwa akili hizi wazungu wakibagua watu weusi siwashangai,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SI suala la ubishi,,,inapotangazwa Hali ya hatari,maana yake mambo Sasa yanakuwa yanaenda kijeshi na lazima jeshi liingie mtaa
 
Jeshi letu la polisi Tanzania linafanya kazi nzuri sana ila hivi karibuni nimekuwa nikishuhudia askari wa barabarani (Traffic Police) hapa nchini mfano jiji la Arusha wakiendelea kujipanga na kusimamisha kila gari inayopita mbele yao kufanya ukaguzi wa gari na makosa ya mwendokasi.

Askari hawa huitaji leseni ya dereva au kadi ya gari ya kila anayesimamishwa kitu ambacho kwa siku moja unaweza kuona idadi ya magari na kadi anazokagua askari huyu kuwa ni kikubwa na zaidi ya hilo ni dereva wa gari kutoa na kurudisha kadi yake ndani ya gari kwa askari tofauti tofauti anaokutana nao kwa siku.

Hali hii naamini itachangia kuwaambukiza si tu askari na familia zao bali madereva wa magari na familia zao pia.

Nashauri tuangalie ni kwa namna gani kuwakinga askari wa barabarani pamoja na madereva na familia zao dhidi ya corona.

Ushauri wangu kwa Jeshi la polisi
Ni vema askari wa barabarani wakapunguza ukaguzi kwa kila gari inayokatiza mbele yao ili ukaguzi huu ukafanyika kwa gari zile zinazovunja sheria tu na zile zenye mashaka kufuatia kuwepo kwa taarifa ya uhalifu kwa gari inayofanana na gari simamishwa mpaka hapo Corona itakapodhibitiwa ndo jeshi letiu liendelee na kazi yake ya kawaida ya kaguzi kwa kila gari inayopita mbele ya askari wa usalama barabarani.

Ni maoni yangu kwa jeshi letu pendwa la Polisi na si kwa nia mbaya bali kutoa maoni kama raia mwema na huru kuboresha afya za askari wetu na wananchi wetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom