Corona: Zanzibar yaonyesha ukomavu waweka itikadi pembeni Waziri wa afya kutoka chama cha upinzani aongoza mapambano!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,801
141,702
Zanzibar ni nchi ndogo lakini ina mikakati imara kila linapotokea swala au janga la kitaifa.

Waziri wa afya mh Hamad Rashid ni mpinzani kutoka chama cha ADC lakini ndiye aliyepewa majukumu muhimu katika vita hii.

Nadhani Tanzania bara tuna jambo la kujifunza kutoka Zanzibar na ni jambo jema kwamba waziri mkuu mh Majaliwa amewaingiza katika kamati ya Kitaifa katibu mkuu wizara ya afya Zanzibar na mganga mkuu!
 
Nani kakwambia kuwa yule ni mpinzani?

In God we Trust
Mkuu, unamaanisha kwamba, lile ombi la Mh Mbowe pale Mwanza kwamba Raisi atafute namna ya maridhiano na vyama pinzani, ikitokea sasa Raisi kaanza kuteuwa Baadhi ya viongozi kutoka huko mtakuwa ni CCM b"?

Kama ni Hivyo, tunashinda mitandaoni kushauri kuwepo maridhiano ni ya nini sasa, maana hata Kukiwepo maridhiano bado ni (0)

Rais wa Zanzibar kaamua kuchanganya Baraza lake na upinzani ili angalau kuwepo na lugha moja bado mnaponda

Basi bara tunaupinzani usioelewa ni nini cha kufanya
 
Nawewe unajidanganya kwa kuendelea kuwa na imani kwa ccm kuwa ni chama cha wanyonge wakati ni danganya toto
Hivi kwa akili yako finyu unahisi.chadema ni wapinzani wa kweli kabisa Kabisa?,unajidangaya

In God we Trust
 
Zanzibar ni nchi ndogo lakini ina mikakati imara kila linapotokea swala au janga la kitaifa.

Waziri wa afya mh Hamad Rashid ni mpinzani kutoka chama cha ADC lakini ndiye aliyepewa majukumu muhimu katika vita hii.

Nadhani Tanzania bara tuna jambo la kujifunza kutoka Zanzibar na ni jambo jema kwamba waziri mkuu mh Majaliwa amewaingiza katika kamati ya Kitaifa katibu mkuu wizara ya afya Zanzibar na mganga mkuu!
Kumbe anatoka chama cha upinzani.

Ndio maana.

Yani nilikuwa nashangaa sana kuwa CCM gani ana akili hivi.
???

Puzzle solved.

Thank you.
 
Zanzibar ni nchi ndogo lakini ina mikakati imara kila linapotokea swala au janga la kitaifa.

Waziri wa afya mh Hamad Rashid ni mpinzani kutoka chama cha ADC lakini ndiye aliyepewa majukumu muhimu katika vita hii.

Nadhani Tanzania bara tuna jambo la kujifunza kutoka Zanzibar na ni jambo jema kwamba waziri mkuu mh Majaliwa amewaingiza katika kamati ya Kitaifa katibu mkuu wizara ya afya Zanzibar na mganga mkuu!
Yaani Watanzania nadhani tumelaaniwa,kila kitu ni siasa tu hata pale pasipohitaji siasa. Mnatuchosha na hizo shombo zenu
 
Mpinzani wakati hana kiti kwenye baraza la waakilishi wala jimbo,mtoa post tuombe radhi.

Sent using tecno tochi
 
Waziri wa afya mh Hamad Rashid ni mpinzani kutoka chama cha ADC lakini ndiye aliyepewa majukumu muhimu katika vita hii.
Hahahahaa hata Shein mwenyewe ni mpinzani ndio maana na yeye ana majukumu ya kutangaza yakwake tofauti na ya Magufuli.
 
Back
Top Bottom