101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,118
Bei ya mafuta ghafi ya petroleum katika soko la dunia yashuka hadi TZS 25,300 (US $11) kwa pipa, ikiwa ni kiwango cha chini zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 18.
Kupungua kwa shughuli za kiuchumi duniani kutokana na janga la #COVIDー19 kumetajwa kuwa chanzo cha anguko hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupungua kwa shughuli za kiuchumi duniani kutokana na janga la #COVIDー19 kumetajwa kuwa chanzo cha anguko hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app