3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 4,890
- 13,624
Prof. Bisanda ni mtu makini na mwenye imani thabiti ameusimamia ukweli anaouamini ili asije akalaumiwa hayo mengine ya wizara watajua wenyewe maana msimamo wake ameshautoa
Nataka kuamini kuwa una hasira za kudisco chuo!Mwambieni huyu Prof aingie maabara afanye utafiti ili kupata dawa ya korona. Siyo kubwatubatuka 6 in
Waukane na waraka wa chuo cha SUA na washapoteza Prof na mumewe Dr.Kimenuka! Kiukweli hii nchi ishaparanganyika, bado kulipuka tu.
Shut up MATAGA!! Watu wanapukutika kama nzige halafu wewe unaleta lugha za hovyo kama hizi? Huyu prof ni wa kuungwa mkono na wote wenye akili wanaoitakia mema Tanzania na sote tunapaswa kumuunga mkono na kumtetea! Halafu kesho baba yenu utasikia kamtumbua kwa sababu za ujinga. Huyu ni Prof wa ukweli na anaongelea sayansi sahihi ya kujikinga na Korona.Mwambieni huyu Prof aingie maabara afanye utafiti ili kupata dawa ya korona. Siyo kubwatubatuka 6 in
Nchi inaendeshwa na mashegani...haaana huruma na maisha ya watu kabisaEti batili. Kwani walitoa wao?
Hii serikali imejaa watu bogus sana. Nani asiyejua kwamba watu wanakufa na korona?
Huyu Prof. nimemuheshimu sana.
Nchi hii yahitaji uwe wa jalalani kufuata chain of command na ikafanya kazi! Na nyote mnaosapoti serikali kwenye hili ni vilaza tupu! Shame on you all!Proffressor gani uchwara huyo asiyejua chain of command? kuamua kufunga chuo haliko ndani ya mandate yake sio mali yake binafsi hiyo
Prof. Bisanda ameamua kuusimamia ukweli. Daima nitamheshimuEti batili. Kwani walitoa wao?
Hii serikali imejaa watu bogus sana. Nani asiyejua kwamba watu wanakufa na korona?
Huyu Prof. nimemuheshimu sana.
Wanataka sijui wafe watu wangapi ndio serikali ichukue tahadhari. Hivi ule mfuko wa maafa na majanga bado upo? Au ndio ushaingizwa hadhina siku hizi?!Wenye nia njema na uhai wetu hawatakiwi! hadi wote tuwe extict! Serikali ya madracula at work! Be ware!
Nasubiri kauli kuhusu SUAWaukane na waraka wa chuo cha SUA na washapoteza Prof na mumewe Dr.
Tunaishi ili mradi jioni ifike, kesho kukuche.
Tena ombwe kubwa saaana. Alafu Kuna mijitu inakaa bungeni eti aongezewe muda.Kuna ombwe somewhere.... Serious ombwe
Ningekuwa na akili kama zako nakuapia ningejinyonga, lini utaweza kufikiri kama binadamu?Mwambieni huyu Prof aingie maabara afanye utafiti ili kupata dawa ya korona. Siyo kubwatubatuka 6 in
Wewe kichwani ni bure kabisa. Muda mwengine ukae kimya kuficha vumbi lililojaa kichwani mwako. Dunia inahangaika na chanjo, wewe unaongelea dawa?! Unaelewa utofauti wa chanjo na dawa?Mwambieni huyu Prof aingie maabara afanye utafiti ili kupata dawa ya korona. Siyo kubwatubatuka 6 in
Kulinusuru taifa na nini mkuu na watu wanakufa?Wote tunaamini hali ni mbaya sana nchi nzima, hawa wakuu wa vyuo wanajua kinachondelea vyouni na hali ya vifo ilivyo! lkn kuna watu hawataki hali iwekwe wazi ili kulinusuru taifa! shame! shame!