njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Hadi wanaweka virusi kwenye barakoa huoni ni wivu huo?
Wewe nawe tumekuchoka na vi thread vyako, yani tangu mwaka jana wewe ni corona tu.
Acha ujinga na upumbavu kijana chapa kazi corona hiyo itaondoka na kukuacha maskini maana unaiogopa sana.
Ni shida sana!Mabibi na mabwana, kumekuwa na habari hii kuwa ugonjwa huu ni vita vya kiuchumi. Tena mlengwa ni Tanzania...
Mabeberu
Kwa mtaji huu kuna mtu ni mwenda wazimu si bure!Ni vita dhidi ya Marekani, Uingeleza, Ufaransa na marafiki zao dhidi yetu...
yup hadi wanaweka virusi kwenye barakoa huoni ni wivu huo?
Characteristics of a mad person:
1. Confused thinking
2. Denial of obvious problems
3. Delusions or hallucinations (seeing or hearing or believing things that are not really there)
Jiwe has all these characteristics
wenzetu wanapigana vita ya uchumi kwa kuongeza technolojia,kufanya protectiosm inapobidi,kusomesha watu wao hasa kwenye nchi zilizowazidi ili kuiba maarifa, kuwekeza mitaji kwenye makampuni yao,kutafuta resource nje ya nchi zao. Sisi tunapigana vita ya kiuchumi kwa kulalamika tu.Mabibi na mabwana, kumekuwa na habari hii kuwa ugonjwa huu ni vita vya kiuchumi. Tena mlengwa ni Tanzania...
Bila kusahau kupandishwa daraja la kusahau 7% ongezeko GDP kwa mwaka.Mfugale flyover na zile ndege zilizonunuliwa cash zimetikisa dunia nzima haswa mabeberu na zahanati 361, viwanda 8000,ajira milioni 6, elimu bure, kushuka kwa mfumuko wa bei,stendi za kisasa, mabeberu yanahaha sana
Nyani kuona kundule anahitaji kioo.Mbona wewe pia huwa unapost makapi kila kukicha?
Umemaliza kaziNyani kuona kundule anahitaji kioo.
Mpe kioo ataliona mataga huyo.
Dalili za kuwa naye haelewi. Hana majibu. Anajitoa vipi kimasomaso?Ameuliza habari ya vita ya kiuchumi ,unaleta hoja zingine, tueleweshane hapo kwanza.
Mbona hujajibu swali lake? Kama umechoka kwanini unasoma threads zake na ili hali huwezi kujibu hoja zake? Act like a grown up person.Wewe nawe tumekuchoka na vi thread vyako, yani tangu mwaka jana wewe ni corona tu.
Acha ujinga na upumbavu kijana chapa kazi corona hiyo itaondoka na kukuacha maskini maana unaiogopa sana.
Hata kusifia wasiovaa barakoa badala ya waliovaa unaonaje sio pevu ?Dalili za kuwa naye haelewi. Hana majibu. Anajitoa vipi kimasomaso?
Kuwadanganya watu wote siku zote mbona ni shughuli pevu!
Vita bila kuambiwa tunapigana na naniUkikua utajua kwanini hii inaiwa ni vita ya kiuchumi, kwa sasa endelea kunywa uji.
Mkuu au na wew humjui adui mnayepambana naye? Acha maneno sema ni vita dhidi ya nani?Ungelikuwa unajua uchumi wewe, usingekuja na mada inayokuchora namna hii. Hii nikwa kuwa una upeo mdogo sana unaoishia kwenye kulima korosho na kusafirisha makinikia. Ninashauri Dr. Magufuli anzishe elimu ya ngumbaru kwa kujenga uelewa kwa wanaojua kusoma na kuandika.
Ukikua utajua kwanini hii inaiwa ni vita ya kiuchumi, kwa sasa endelea kunywa uji.
Akukujibi ni tag mkuu, nina uhakika 100% hata yeye hamjui adui.Hapo hujamsaidia mleta mada. Anatakujua huyo adui tunaepigana nae ni nani? Akimtambua itakua rahisi kwake nae kushiriki. Si unaona hata simba na yanga wanavaa jezi tofauti? Bila kumtambua adui tunaweza kugongana wenyewe mkuu. Huyo adui ni yupi?
Ameuliza habari ya vita ya kiuchumi ,unaleta hoja zingine, tueleweshane hapo kwanza.