CORONA VIRUS(COVID_19) Ni mbinu ya CHINA kuzima maandamano ya Hongkong na Alarm kwa Mabeberu juu ya biological warfare ya CHINA.

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,395
3,897
Ni wazi kwamba China isingeliweza kutumia mbinu ya kuzima maandamano ya Hongkong kwa nguvu kama ilipotumia nguvu kubwa kuzima maandamano ya Tianamen kati ya juni 3 na juni 4 mwaka 1989 iliyopelekea kuuawa kwa watu zaidi ya 1000

China imeona hatari kubwa ya kugawanywa kulingana na vugu vugu ambalo lilikuwa limeanzia HONGKONG hili lingeendelea lingeathiri Uchumi wa China kwa miaka yote maana lingeondoa Sera ya China moja

Corona Virus ni virus ambao hata sisi tunakutana nao kwenye mazingira yetu kutoka kwa Polo, panya, nyoka etc

Covid- 19 amerutubishwa kwenye maabara yaani amekuwa genetically Engineered na specifically anafanya madhara kwa binadamu tu na si vinginevyo

Ukiangalia wahusika wakuu akiwemo Daktari aliyetoa taarifa mapema amekufa akiwemo na Mkurugenzi mkuu wa Hospitali lengo ni kupoteza ushahidi kutoka kwa watu ambao hawajanywa maji ya Bendera

Kwa hiyo watakaobaki na hiyo Siri ni wanywa maji ya Bendera ya nchi ambao State house ndo nyumbani kwao
 
Hata hivyo ni suala la muda tu uongo utajulikana tu, maana huwezi kuwadanganya watu muda wote.
 
Wazee wa conspiracy theory. No ebidence no right to speak
Ni wazi kwamba China isingeliweza kutumia mbinu ya kuzima maandamano ya Hongkong kwa nguvu kama ilipotumia nguvu kubwa kuzima maandamano ya Tianamen kati ya juni 3 na juni 4 mwaka 1989 iliyopelekea kuuawa kwa watu zaidi ya 1000

China imeona hatari kubwa ya kugawanywa kulingana na vugu vugu ambalo lilikuwa limeanzia HONGKONG hili lingeendelea lingeathiri Uchumi wa China kwa miaka yote maana lingeondoa Sera ya China moja

Corona Virus ni virus ambao hata sisi tunakutana nao kwenye mazingira yetu kutoka kwa Polo, panya, nyoka etc

Covid- 19 amerutubishwa kwenye maabara yaani amekuwa genetically Engineered na specifically anafanya madhara kwa binadamu tu na si vinginevyo

Ukiangalia wahusika wakuu akiwemo Daktari aliyetoa taarifa mapema amekufa akiwemo na Mkurugenzi mkuu wa Hospitali lengo ni kupoteza ushahidi kutoka kwa watu ambao hawajanywa maji ya Bendera

Kwa hiyo watakaobaki na hiyo Siri ni wanywa maji ya Bendera ya nchi ambao State house ndo nyumbani kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom