Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza!

Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huwaletea mfululizo wa makala zangu elimishi za kuhamasisha uzalendo zinazoitwa "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa ziko kwa mtindo wa maswali. Makala ya leo sio ya swali bali ni wito.

Tanzania ni nchi yetu sote, na imetokea sisi Watanzania tuko wengi na tumetapakaa duniani kote. Kutokana na kutapakaa huku, Watanzania tofauti tofauti tuna uwezo tofauti na exposure tofauti kutokana na experiences tofauti tofauti ya huku tulipo, lakini bado tunawajibu wa kuelekeza uzalendo wetu kwa nchi yetu, Tanzania yetu au Mama Tanzania, hivyo kama kuna yeyote mwenye uwezo wowote wa kusaidia, asaidie.

As the Corona situation ya maambukizi ya local transmissions is escalating, nimenote huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi yetu tumeanza kunyoosheana vidole vya kulaumu, kuwa hatukufanya hiki au kile ndio maana maambukizi yamefikia kiwango hiki.

Tangu kuibuka kwa janga hili la Corona Mwezi December mwaka jana, kila nchi ilichukua hatua za kuzuia na kujiandaa kukabiliana nayo ki vyake vyake. Sisi Tanzania pia kupitia serikali yetu nasi tulichukua hatua kivyetu. Ziko nchi za jirani zetu wao waliamua kuchukua hatua zao kwa copy and paste ya nchi nyingine walichofanya ikiwemo hatua ya lockdown, Tanzania tukaamua hatuigi, hakuna lockdown na rais wetu Magufuli kutuondoa wasiwasi kwa kusema Tusitishane, na kutuhimiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu na kusema haka ka Corona ni ka ugonjwa kadogo, ni kashetani, tuka mkabidhi Mungu, na kwenye Mungu akatenda. Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100% - JamiiForums

Mwanzoni Mungu ametenda na mpaka sasa anaendelea kutenda, jana tumemaliza siku 3 za maombi ya kitaifa dhidi ya janga la Corona, hivyo tunamuomba Mungu huku tunajisaidia.

Kufuatia kuongezeka kwa kasi ya maambukizi ya Corona, huku kwenye mitandao ya kijamii, tunaanza kulaumiana na kunyoosheana vidole kuwa Corona inasambaa kwasababu hatukufanya abcd.

Hii ni mifano

Mkuu Nguruvi3 at this juncture, lets stand as one kusaidia. Je, Watanzania wenye uwezo wa kusaidia, jee tuisaidiaje serikali yetu ili ishindindwe?.

Kwa vile sasa ni April na umma haupukutiki bali unaambukizwa, na kwa vile umeishajua kuwa mwezi May umma utapukutuka, hivyo unashauri tujiandae kuona umma unavyopukutika!, kwanini usisaidie kuzuia umma wa Watanzania usipukutike?

Usaidizi huo, sio lazima uwe kama ule wa Rostam Aziz or Mo Dewji, bali hata kwa kuandika tuu humu jf na vyombo vyetu vya maamuzi watasoma na kufanya uamuzi wafuate au waache, ili itakapofika hiyo May, tutakapo anza kuona na kushuhudia jinsi watu wanavyopukutika, angalau tutasema, tuliona kabla, tukaonya, tukashauri, tukapuuzwa na sasa haya ndio matokeo.

Kwenye situation hii tuliofikia, swali langu hili
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums


Mkuu Retired, if you can help, just help out, kama una ushauri mzuri wa jinsi ya kusaidia, wewe toa tuu huo ushauri, sasa issue ya kama ushauri wako utapokelewa utakubaliwa au utafanyiwa kazi au laa, hili sio letu, hili ni la ngazi za maamuzi, whether ushauri wako utatekelezwa au utapuuzwa, hili sio lako, wewe utakuwa umetimiza wajibu wako na huu ndio uzalendo wako kwa nchi yako.

Hitimisho
Nimalizie kwa kutoa wito, janga la Corona ni janga letu sote sisi Watanzania, haijalishi uko wapi na unaishi nchi gani, as long as wewe ni Mtanzania, hata kama umejilipua, lakini kwenu ni Tanzania, una wajibu wa kuisaidia nchi yako kwenye nyakati kama hizi. Huu sio wakati wa kulaumiana na kunyoosheane vidole vya we didn't do this and that, huu ni wakati wa kusimama pamoja, kushikamana na kusaidiani, kama unaweza kusaidia kwa lolote, chochote, hali na mali au hata ushauri tuu to help out the situation, please just do!, usisubiri uombwe, msaada na yeyote. Jitokeze tuu saidia!. Vinginevyo...Nyamaza!

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Uzembe wa serikali ya awamu ya Tano, lazima usemwe....uzalendo ni kuwa mkweli sio unafiki..

Korona serikali ilipata nafasi ya kuizuia isienee kwa kasi hii...ikazembee

Wacha watu watapike nyongo...tufe kwa Korona lkn ukweli usemwe na hatua za kujihami na kuenea kwa ugonjwa zichukuliwe...


Pitia Kauli za Makonda toka ugonjwa unaingia Nchini na muendelezo wake..

Tuko ktk mahangaiko haya, sababu ya uzembe wa Viongozi wa Serikali na Chama kama Ndg Polepole... Kuifananisha korona na Upinzani.. Ni stupidity


Uzalendo ni Ukweli.. Korona inaua na inazidi kuenea nchini....sababu ya kushindwa mapema kuchukua hatua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madaktari wameshindwa.
Na dawa pia zimeshindwa.
tumtegemee nani?

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Kwa hiyo kumbe shida yako ni upinzani?

Hili suala litapita bila hayo unayoyafikiria kutokea. Na mniandae kwa aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu siyo upinzani, ishu ni seriousness na ugonjwa huu. Definetely utaisha lkn utaisha kwa vipi ndilo swali kubwa. Ukifyeka 40m rudi hapa useme umeisha! Nenda kambusu mwenye corona si kagonjwa kadogo! Nasikia mbunge mmoja kanasa kwenye ventillator, anapigana na uhai maana ameshavuka redline sasa anapiga dakika za mwisho! He might recover anyaway!
 
Huyu Paskali leo nimeanza kumwelewa vizuri, siku zote nilikuwa nayathamini sana mawazo yake hapo wengi walikuwa wqnamwita majina mengi MF:- Njaa, Kinyonga, Mnafiki, Tiss nk.

Kiumri ni lazima nimweshimu kwani kanizidi (He is my brother not father)

Ushauri. wangu kwako Paskali, Usipende kutumia elimu na heshima yako uliyonayo kuyumbisha yumbisha watu kisa Title yako ni kubwa humu Jf.
Asubuhi unaandika ukionyesha msimamo huu, jioni unakuja kivingine, kesho unajisahau unarudia ya Jana ilimradi tu utuchanganye kwa faida unazozijua mwenyewe.

Nimeanza kutilia shaka wewe ni mtu wa aina gani, nimewahurumia kina Kabendera.
Ahsante sana Sambai!
 
Usa walizuia ndege yoyote kuingia chini kwao. Lakini mpaka sasa kuna vifo zaidi ya vifo elfu 40+. Yaliyopita tuachane nayo. Sasa maambukizi yameongezeka huwezi jua yaliletwa kupitia airports au njia za panya za mipakani. Kwa hiyo jambo la msingi ni kupambana na hili janga kama taifa na kuweka lawama kando.

..kwa hiyo mnataka MARIDHIANO?

..umeona jinsi Mbowe alivyokuwa na busara?

..kipindi kile CCM mlitukana kila aina ya matusi.

..hakika mngechukua ushauri wa Freeman Mbowe janga la covid19 lingetukuta tukiwa wamoja.

Cc Pascal Mayalla
 
Kwani makanisa yakifungwa unapata hasara gani?
P tunashukuru kwa mawazo yako lkn " Nyamaza" unavunja haki yetu ya kikatiba ambayo tunaitekeleza kwa kuzingatia kutovunja haki ya mwingine.

Neno " serikali ilaumiwe 100%" na nyingine si kuvunja haki na Uhuru wa mtu.

Hakuna kipindi ambacho tumeungana kama wtz kama kipindi hiki na wale wasiokuwa na mawazo ya msingi walinyamaza lkn kama wapo wanaotoa maoni yao na kuvunja haki ya kikatiba ya mwingine hakika tuwakemee na si uungwana. Hivyo waache.

Serikali na Rais kama baba analilowa na umma wote katika mawazo na nia mbali mbali hivyo si za kupuuzwa ama na rais au serikali yake.
Tulitegemea serikali ifanye kinachotakwa na umma na hapo ndipo tutaona Nguvu ya umma ipo na inaheshimika isippkuwa kwenye mikutano ya serikali na nyakati za uchaguzi. Tulitarajia ama wakubali au watoe clarification ya mawazo ya watu ili umma utafakari sawa na Rais na serikali yake.
Tunajua si rahisi kumridhisha kila mmoja lkn ni vema angalau tukafarijiwa na mshika mpini.
Daktari anakumbwa na maswali na maoni mengi toka kwa wauguzi endapo hali ya mgonjwa inapokuwa mashakan na ni kazi ya daktari kuondoa mawazo hasi, clarification ya maoni yao, kutoa tumaini na maamuzi kama yapo .
Je P Rais na serikali si daktari? Je , daktari akilaumiwa kwa kutotoa clarification, options, huduma na ushauri tarajiwa, si kosa analopaswa kulaumiwa endapo afya ya mgonjwa inapoendelea kuzorota?
 
Tunaweza kunyamaza lkn umma ukinyamaza hakika hata serikali haitatulia.
Huenda P unajua hali ilivyo jikoni lkn kama msambazaji chakula ni vema ukaanza kugawa appetitive soup ili tuendelee kusubiri chakula au ni namna ya kufunga mgawahawa ili chakula kisigawiwe?

Yote ya yote ahsante kwa ushauri.

Tutaonana toharani kama si jehanamu.
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huwaletea mfululizo wa makala zangu elimishi za kuhamasisha uzalendo zinazoitwa "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa ziko kwa mtindo wa maswali. Makala ya leo sio ya swali bali ni wito.

Tanzania ni nchi yetu sote, na imetokea sisi Watanzania tuko wengi na tumetapakaa duniani kote. Kutokana na kutapakaa huku, Watanzania tofauti tofauti tuna uwezo tofauti na exposure tofauti kutokana na experiences tofauti tofauti ya huku tulipo, lakini bado tunawajibu wa kuelekeza uzalendo wetu kwa nchi yetu, Tanzania yetu au Mama Tanzania, hivyo kama kuna yeyote mwenye uwezo wowote wa kusaidia, asaidie.

As the Corona situation ya maambukizi ya local transmissions is escalating, nimenote huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi yetu tumeanza kunyoosheana vidole vya kulaumu, kuwa hatukufanya hiki au kile ndio maana maambukizi yamefikia kiwango hiki.

Tangu kuibuka kwa janga hili la Corona Mwezi December mwaka jana, kila nchi ilichukua hatua za kuzuia na kujiandaa kukabiliana nayo ki vyake vyake. Sisi Tanzania pia kupitia serikali yetu nasi tulichukua hatua kivyetu. Ziko nchi za jirani zetu wao waliamua kuchukua hatua zao kwa copy and paste ya nchi nyingine walichofanya ikiwemo hatua ya lockdown, Tanzania tukaamua hatuigi, hakuna lockdown na rais wetu Magufuli kutuondoa wasiwasi kwa kusema Tusitishane, na kutuhimiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu na kusema haka ka Corona ni ka ugonjwa kadogo, ni kashetani, tuka mkabidhi Mungu, na kwenye Mungu akatenda. Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100% - JamiiForums

Mwanzoni Mungu ametenda na mpaka sasa anaendelea kutenda, jana tumemaliza siku 3 za maombi ya kitaifa dhidi ya janga la Corona, hivyo tunamuomba Mungu huku tunajisaidia.

Kufuatia kuongezeka kwa kasi ya maambukizi ya Corona, huku kwenye mitandao ya kijamii, tunaanza kulaumiana na kunyoosheana vidole kuwa Corona inasambaa kwasababu hatukufanya abcd.

Hii ni mifano

Mkuu Nguruvi3 at this juncture, lets stand as one kusaidia. Je, Watanzania wenye uwezo wa kusaidia, jee tuisaidiaje serikali yetu ili ishindindwe?.

Kwa vile sasa ni April na umma haupukutiki bali unaambukizwa, na kwa vile umeishajua kuwa mwezi May umma utapukutuka, hivyo unashauri tujiandae kuona umma unavyopukutika!, kwanini usisaidie kuzuia umma wa Watanzania usipukutike?

Usaidizi huo, sio lazima uwe kama ule wa Rostam Aziz or Mo Dewji, bali hata kwa kuandika tuu humu jf na vyombo vyetu vya maamuzi watasoma na kufanya uamuzi wafuate au waache, ili itakapofika hiyo May, tutakapo anza kuona na kushuhudia jinsi watu wanavyopukutika, angalau tutasema, tuliona kabla, tukaonya, tukashauri, tukapuuzwa na sasa haya ndio matokeo.

Kwenye situation hii tuliofikia, swali langu hili
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums


Mkuu Retired, if you can help, just help out, kama una ushauri mzuri wa jinsi ya kusaidia, wewe toa tuu huo ushauri, sasa issue ya kama ushauri wako utapokelewa utakubaliwa au utafanyiwa kazi au laa, hili sio letu, hili ni la ngazi za maamuzi, whether ushauri wako utatekelezwa au utapuuzwa, hili sio lako, wewe utakuwa umetimiza wajibu wako na huu ndio uzalendo wako kwa nchi yako.

Hitimisho
Nimalizie kwa kutoa wito, janga la Corona ni janga letu sote sisi Watanzania, haijalishi uko wapi na unaishi nchi gani, as long as wewe ni Mtanzania, hata kama umejilipua, lakini kwenu ni Tanzania, una wajibu wa kuisaidia nchi yako kwenye nyakati kama hizi. Huu sio wakati wa kulaumiana na kunyoosheane vidole vya we didn't do this and that, huu ni wakati wa kusimama pamoja, kushikamana na kusaidiani, kama unaweza kusaidia kwa lolote, chochote, hali na mali au hata ushauri tuu to help out the situation, please just do!, usisubiri uombwe, msaada na yeyote. Jitokeze tuu saidia!. Vinginevyo...Nyamaza!

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Mzee kuna kitu kinaitwa decisive response ama active response kutoka kwa yule mwenye instrument of powers! Hata kama leo umeamua kutetea serikalii kwenye hili hapana, nilitegemea reaction ya daraja la kiyegeya! Niko very disappointed nasubiria tangazo la maombi mapya! watu warudi nyumba za ibada wakeshe then number iendelee ku-skyrocket!

Wapotoshaji hawa hapa 👇 tayari wanauza sura! Wanasema wanataka kufanya maombi Jumapili "Operation kuifuta Corona" tena anadai kabisa! Anadai ugonjwa wa coronavirus ni mapepo! Tutapukutika aisee! Operation kuifuta Corona! Wangapi tunaenda Jumapili? Yaani hii nchi badala ya madaktari kupewa airtime kutoa somo ni vipi tuuepuke! Wanapewa hawa jamaa wengine wanadai wanaponyesha!

 
Ni muhimu kuwaonesha walipokosea na sasa taifa linakwenda kuingia gharama kubwa ya uhai wa watu. They should learn to take responsibility kwenye maamuzi yao. Huwezi kucheza betting na maisha ya watu!
 
Mkuu agiza kinywaji nakuja kulipa...extra mind
Simba wamevamia kijijini, watu wakatangaziwa waingie majumbani na wafunge milango mpaka hao simba watakapodhibitiwa.

Kwenye kaya moja baba mwenye nyumba akasikika akijigamba kwamba hakuna kufunga milango kwani simba si chochote si lolote hawana la kuifanya kaya yake.

Ghafla simba wakaivamia nyumba na wakaingia mpaka ndani. Hapa na pale baba akafanikiwa kufunga mlango lkn tayari simba kadhaa walishaingia ndani na kuwadhibiti ni ngumu. Ndani kuna simba na nje kuna simba, wakajikuta wako kwenye dilemma maana hakuna pa kukimbilia.

Wakati haya yanatokea baba alikuwa nyumba ya uani huku akiwa amefunga milango yote na maagizo akiyatolea dirishani.

Mpaka sasa kijiji kinahoji kulikuwa na haja gani ya kusubiri simba waingie ndio tufunge milango? Sababu kwa vyovyote vile ilikuwa lazima milango ifungwe, iwe simba wakiwa wameshaingia ama kabla hawajaingia. Sasa wanakijiji wanajiuliza kwa nini hii familia ilisubiri mpaka simba wamewavamia ndio wafunge milango?

Unforgetable

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia kukwambia tena mkuu paskal, Mungu Adhihakiwi apandacho mtu ndicho avunacho, tawala yenu ya kisukuma imekuwa chukizo kwa Mungu, mapigo ya adhabu yameanza na mnaenda kudondoka
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huwaletea mfululizo wa makala zangu elimishi za kuhamasisha uzalendo zinazoitwa "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa ziko kwa mtindo wa maswali. Makala ya leo sio ya swali bali ni wito.

Tanzania ni nchi yetu sote, na imetokea sisi Watanzania tuko wengi na tumetapakaa duniani kote. Kutokana na kutapakaa huku, Watanzania tofauti tofauti tuna uwezo tofauti na exposure tofauti kutokana na experiences tofauti tofauti ya huku tulipo, lakini bado tunawajibu wa kuelekeza uzalendo wetu kwa nchi yetu, Tanzania yetu au Mama Tanzania, hivyo kama kuna yeyote mwenye uwezo wowote wa kusaidia, asaidie.

As the Corona situation ya maambukizi ya local transmissions is escalating, nimenote huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi yetu tumeanza kunyoosheana vidole vya kulaumu, kuwa hatukufanya hiki au kile ndio maana maambukizi yamefikia kiwango hiki.

Tangu kuibuka kwa janga hili la Corona Mwezi December mwaka jana, kila nchi ilichukua hatua za kuzuia na kujiandaa kukabiliana nayo ki vyake vyake. Sisi Tanzania pia kupitia serikali yetu nasi tulichukua hatua kivyetu. Ziko nchi za jirani zetu wao waliamua kuchukua hatua zao kwa copy and paste ya nchi nyingine walichofanya ikiwemo hatua ya lockdown, Tanzania tukaamua hatuigi, hakuna lockdown na rais wetu Magufuli kutuondoa wasiwasi kwa kusema Tusitishane, na kutuhimiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu na kusema haka ka Corona ni ka ugonjwa kadogo, ni kashetani, tuka mkabidhi Mungu, na kwenye Mungu akatenda. Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100% - JamiiForums

Mwanzoni Mungu ametenda na mpaka sasa anaendelea kutenda, jana tumemaliza siku 3 za maombi ya kitaifa dhidi ya janga la Corona, hivyo tunamuomba Mungu huku tunajisaidia.

Kufuatia kuongezeka kwa kasi ya maambukizi ya Corona, huku kwenye mitandao ya kijamii, tunaanza kulaumiana na kunyoosheana vidole kuwa Corona inasambaa kwasababu hatukufanya abcd.

Hii ni mifano

Mkuu Nguruvi3 at this juncture, lets stand as one kusaidia. Je, Watanzania wenye uwezo wa kusaidia, jee tuisaidiaje serikali yetu ili ishindindwe?.

Kwa vile sasa ni April na umma haupukutiki bali unaambukizwa, na kwa vile umeishajua kuwa mwezi May umma utapukutuka, hivyo unashauri tujiandae kuona umma unavyopukutika!, kwanini usisaidie kuzuia umma wa Watanzania usipukutike?

Usaidizi huo, sio lazima uwe kama ule wa Rostam Aziz or Mo Dewji, bali hata kwa kuandika tuu humu jf na vyombo vyetu vya maamuzi watasoma na kufanya uamuzi wafuate au waache, ili itakapofika hiyo May, tutakapo anza kuona na kushuhudia jinsi watu wanavyopukutika, angalau tutasema, tuliona kabla, tukaonya, tukashauri, tukapuuzwa na sasa haya ndio matokeo.

Kwenye situation hii tuliofikia, swali langu hili
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums


Mkuu Retired, if you can help, just help out, kama una ushauri mzuri wa jinsi ya kusaidia, wewe toa tuu huo ushauri, sasa issue ya kama ushauri wako utapokelewa utakubaliwa au utafanyiwa kazi au laa, hili sio letu, hili ni la ngazi za maamuzi, whether ushauri wako utatekelezwa au utapuuzwa, hili sio lako, wewe utakuwa umetimiza wajibu wako na huu ndio uzalendo wako kwa nchi yako.

Hitimisho
Nimalizie kwa kutoa wito, janga la Corona ni janga letu sote sisi Watanzania, haijalishi uko wapi na unaishi nchi gani, as long as wewe ni Mtanzania, hata kama umejilipua, lakini kwenu ni Tanzania, una wajibu wa kuisaidia nchi yako kwenye nyakati kama hizi. Huu sio wakati wa kulaumiana na kunyoosheane vidole vya we didn't do this and that, huu ni wakati wa kusimama pamoja, kushikamana na kusaidiani, kama unaweza kusaidia kwa lolote, chochote, hali na mali au hata ushauri tuu to help out the situation, please just do!, usisubiri uombwe, msaada na yeyote. Jitokeze tuu saidia!. Vinginevyo...Nyamaza!

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Kaka umeandika vizuri mno lakini kwenye hitimisho mie naona kama umeleta Siasa vile Mkuu wangu.Ebu soma Hitimisho kwa ulichokiandika,yaani yooote unayoomba watu wafanye yameshafanyika saana. For reference sikiliza hutuba za wabunge of likes Mbowe,Lema na wengine wataalam wa Afya haya yote unayooomba wamefanya. Ningeshauri Hitimisho lako liwe kuwaomba wenye mamlaka waache kiburi na wafuate ushauri wa wadau ambao ulitolewa tokea day one hata kabla ugonjwa haujanzaa kusambaa nchini, wenye mamlaka walipuuza kwa kauli za kejeli wapo waliosema eti "huu ugonjwa ni wa baadhi ya watu tu sisi tuna Mungu wetu atatulinda" tena madhabahuni na kwamba tuchape kazi tu. Wapo waliwatisha watu watakao kaa majumbani kujikinga na ugonjwa huu na kwamba watakufa maskini. Sasa kaka sijui unataka WaTZ wafanye nini. Hivi nani asiyejua kuwa wiki moja iliyopita kulikuwa na maadhimisho ya sherehe za PASAKA na yalikuwa na mikusanyiko ya kufa mtu na kwamba wenye mamlaka walitakiwa wasikumbwe na kupelekeshwa na upepo wa kisulisuli kutoka kwa viongozi wa dini? hatukuwa na usalama wa TAIFA, Je haukuliona hili? au kama uliliona je ulishauri nini? je ushauri wao ulifuatwa au ulitupwa kapuni? kama ulitupwa kapuni wanafanya nini ofifini hadi leo?.Kaka rekebisha hitimisho lako....
 
Pasco tangu mwezi wa pili tumepiga kelele sana kuhusu kuchukua tahadhari kwa sababu tunajua nchi maskini hazina uwezo wa kupambana na hili dude kwa hiyo muhimu ilikuwa kuchukua tahadhari lakini wapi sikio la kufa uliwasikia wakuu wenye mamlaka waliojawa kiburi walivyopuuza yote hayo na kuendelea na yao sasa ni wiki ya tatu rais ameikimbia Ikulu anaongea kwa kiburi toka kijijini kwao akiwaamuru watu kuchapa kazi. Wana kiburi mno na ni wakaidi hakuna ushauri watakaosikia tena isipokuwa kama wataathirika wao binafsi labda that will sink in their heart and mind

Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huwaletea mfululizo wa makala zangu elimishi za kuhamasisha uzalendo zinazoitwa "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa ziko kwa mtindo wa maswali. Makala ya leo sio ya swali bali ni wito.

Tanzania ni nchi yetu sote, na imetokea sisi Watanzania tuko wengi na tumetapakaa duniani kote. Kutokana na kutapakaa huku, Watanzania tofauti tofauti tuna uwezo tofauti na exposure tofauti kutokana na experiences tofauti tofauti ya huku tulipo, lakini bado tunawajibu wa kuelekeza uzalendo wetu kwa nchi yetu, Tanzania yetu au Mama Tanzania, hivyo kama kuna yeyote mwenye uwezo wowote wa kusaidia, asaidie.

As the Corona situation ya maambukizi ya local transmissions is escalating, nimenote huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi yetu tumeanza kunyoosheana vidole vya kulaumu, kuwa hatukufanya hiki au kile ndio maana maambukizi yamefikia kiwango hiki.

Tangu kuibuka kwa janga hili la Corona Mwezi December mwaka jana, kila nchi ilichukua hatua za kuzuia na kujiandaa kukabiliana nayo ki vyake vyake. Sisi Tanzania pia kupitia serikali yetu nasi tulichukua hatua kivyetu. Ziko nchi za jirani zetu wao waliamua kuchukua hatua zao kwa copy and paste ya nchi nyingine walichofanya ikiwemo hatua ya lockdown, Tanzania tukaamua hatuigi, hakuna lockdown na rais wetu Magufuli kutuondoa wasiwasi kwa kusema Tusitishane, na kutuhimiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu na kusema haka ka Corona ni ka ugonjwa kadogo, ni kashetani, tuka mkabidhi Mungu, na kwenye Mungu akatenda. Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100% - JamiiForums

Mwanzoni Mungu ametenda na mpaka sasa anaendelea kutenda, jana tumemaliza siku 3 za maombi ya kitaifa dhidi ya janga la Corona, hivyo tunamuomba Mungu huku tunajisaidia.

Kufuatia kuongezeka kwa kasi ya maambukizi ya Corona, huku kwenye mitandao ya kijamii, tunaanza kulaumiana na kunyoosheana vidole kuwa Corona inasambaa kwasababu hatukufanya abcd.

Hii ni mifano

Mkuu Nguruvi3 at this juncture, lets stand as one kusaidia. Je, Watanzania wenye uwezo wa kusaidia, jee tuisaidiaje serikali yetu ili ishindindwe?.

Kwa vile sasa ni April na umma haupukutiki bali unaambukizwa, na kwa vile umeishajua kuwa mwezi May umma utapukutuka, hivyo unashauri tujiandae kuona umma unavyopukutika!, kwanini usisaidie kuzuia umma wa Watanzania usipukutike?

Usaidizi huo, sio lazima uwe kama ule wa Rostam Aziz or Mo Dewji, bali hata kwa kuandika tuu humu jf na vyombo vyetu vya maamuzi watasoma na kufanya uamuzi wafuate au waache, ili itakapofika hiyo May, tutakapo anza kuona na kushuhudia jinsi watu wanavyopukutika, angalau tutasema, tuliona kabla, tukaonya, tukashauri, tukapuuzwa na sasa haya ndio matokeo.

Kwenye situation hii tuliofikia, swali langu hili
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums


Mkuu Retired, if you can help, just help out, kama una ushauri mzuri wa jinsi ya kusaidia, wewe toa tuu huo ushauri, sasa issue ya kama ushauri wako utapokelewa utakubaliwa au utafanyiwa kazi au laa, hili sio letu, hili ni la ngazi za maamuzi, whether ushauri wako utatekelezwa au utapuuzwa, hili sio lako, wewe utakuwa umetimiza wajibu wako na huu ndio uzalendo wako kwa nchi yako.

Hitimisho
Nimalizie kwa kutoa wito, janga la Corona ni janga letu sote sisi Watanzania, haijalishi uko wapi na unaishi nchi gani, as long as wewe ni Mtanzania, hata kama umejilipua, lakini kwenu ni Tanzania, una wajibu wa kuisaidia nchi yako kwenye nyakati kama hizi. Huu sio wakati wa kulaumiana na kunyoosheane vidole vya we didn't do this and that, huu ni wakati wa kusimama pamoja, kushikamana na kusaidiani, kama unaweza kusaidia kwa lolote, chochote, hali na mali au hata ushauri tuu to help out the situation, please just do!, usisubiri uombwe, msaada na yeyote. Jitokeze tuu saidia!. Vinginevyo...Nyamaza!

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
 
Mkuu Nguruvi3 at this juncture, lets stand as one kusaidia. Jee Watanzania wenye uwezo wa kusaidia, jee tuisaidiaje serikali yetu ili ishindindwe?.

Kwa vile sasa ni April na umma haupukutiki bali unaambukizwa, na kwa vile umeishajua kuwa mwezi May umma utapukutuka, hivyo unashauri tujiandae kuona umma unavyopukutika!, kwanini usisaidie kuzuia umma wa Watanzania usipukutike?.

Usaidizi huo, sio lazima uwe kama ule wa Rostam Aziz or Mo Dewji, bali hata kwa kuandika tuu humu jf na vyombo vyetu vya maamuzi watasoma na kufanya uamuzi wafuate au waache, ili itakapofika hiyo May, tutakapo anza kuona na kushuhudia jinsi watu wanavyopukutika, angalau tutasema, tuliona kabla, tukaonya, tukashauri, tukapuuzwa na sasa haya ndio matokeo.

Kwenye situation hii tuliofikia, swali langu hili
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums

Ni valid hata kwenye janga hili la Corona.
P
Mkuu Pascal , sikuelewi kabisa katika mabandiko yako mawili uliyonifanyia 'quote'' na ku 'implicate'' kana kwamba sijawahi kuandika kwa kina kuhusu Corona.

Kwa taarifa yako wakati watu wanakumbatia kusifia na uzalendo,nilisimama na kuukataa Uzalendo wa bandia.
Nilisimama na kusema tusifanye mzaha na Corona.

Soma:
Bandiko 161 Ninaukataa Uzalendo wa kutetea uzembe! Ninasimama na Sayansi

Wananchi wazalendo wamcharukia January Makamba kuuliza swali hili Waziri kuhusu Corona - JamiiForums

Wakati watu wakibeza ni mafua tu ya Wazungu nilitahadharisha kwa kueleza haya
Bandiko#18

WITO WA MWANAKIJIJI: Rais Magufuli Atumie Sheria ya Hali ya Dharura (1986) Kukabili COVID-19 (Corona Virus) - JamiiForums

Wakati akina Pascala Mayalla na MsemajiUkweli wakiukana ukweli (denial state) niliandika haya
Bandiko#114 Ninamshauri Pasco aombe radhi kwani maambukizi yatakuwa exponential
Makonda awataka wananchi kutulia na kutotangaza Mgonjwa wa Corona kwani hawana mamlaka - JamiiForums

Wakati Pascal akifanyia indhara kauli yangu ya ''mwezi May' amesahau huko nyuma niliandika haya
Bandiko#60 Ninaelezea Incubation period na jinsi gani tutaathirika
Makonda awataka wananchi kutulia na kutotangaza Mgonjwa wa Corona kwani hawana mamlaka - JamiiForums

Kabla ya Waziri mkuu hajatoa tamko la nani afanye nini, tulishauri hivi
Bandiko#4
IGP Sirro: Hatujafikia hatua ya kufunga mipaka ya nchi kutokana na ugonjwa wa Corona - JamiiForums

Na nyongeza hii

Bandiko#115
Corona: Meneja wa Diamond na Mwana FA watangaza kuugua Corona baada ya kupimwa - JamiiForums

Ninaeleza umuhimu wa serikali kuwa wazi
Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums


Pasco mchango wetu si wa pesa ni mawazo, kwa bahati mbaya nani anawasikiliza kapuku wa JF?
Badala ya kutuhuma wanaoeleza ukweli ungetueleza yule aliyesema tuchape kazi ndio mchango unaoutaka?

Tulitoa hadi ushauri wa nini kifanyike katika bandiko moja kitaalamu na kwa weledi

Tumetimiza wajibu wetu wa Uzalendo wa dhati si ule wa kukosa majibu au kuchora picha.
 
Huu sio wakati wa kutafuta mchawi tena, kama "mistake" ilishatokea, now lazima tusonge mbele, kupoteza muda mwingi kulaumu hakutasaidia chochote tena.

Tukicheza tutawapoteza mpaka wapendwa wetu, hakuna haja kufika huko, huu ni wakati wa kuwa wamoja kupambana na hili gonjwa, na sio kuendelea kumfikiria mtu mmoja, kumbuka yeye anaweza akabaki, wewe na wenzako mnaweza kuondoka msipochukua tahadhari.

Ukisema huipendi CCM, kumbuka kuna marafiki na jamaa zako wako huko huko CCM, na ukisema huipendi CHADEMA, pia kuna marafiki na jamaa zako wako huko usipopapenda.

Wote kwa pamoja tusingependa kuwapoteza marafiki na jamaa zetu, huu ni wakati wa kujilinda, kushauri, na kufarijiana, ili sote kwa pamoja tuvuke salama kipindi hiki.

Pole kwa wote walioondokewa na ndugu, marafiki, na jamaa zao kutokana na huu ugonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, mchawi tayari anajulikana. Kosa letu ni tamaa...... We chose WEALTH instead of HEALTH.
 
Ni wewe PM uliyeandika kuwa Meko ni shujaa? Leo mapum.. yamesinyaa unaweka uzi mrefu na links za kitoto?
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huwaletea mfululizo wa makala zangu elimishi za kuhamasisha uzalendo zinazoitwa "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa ziko kwa mtindo wa maswali. Makala ya leo sio ya swali bali ni wito.

Tanzania ni nchi yetu sote, na imetokea sisi Watanzania tuko wengi na tumetapakaa duniani kote. Kutokana na kutapakaa huku, Watanzania tofauti tofauti tuna uwezo tofauti na exposure tofauti kutokana na experiences tofauti tofauti ya huku tulipo, lakini bado tunawajibu wa kuelekeza uzalendo wetu kwa nchi yetu, Tanzania yetu au Mama Tanzania, hivyo kama kuna mwenzetu yeyot, mwenye uwezo wowote wa kusaidia, asaidie, ama kama yuko kwenye nchi yoyote, yenye mazingira sawa na yetu, wenzetu huko kuna kitu wamefanya kikasaidia, na kitu hicho sisi tunaweza kufanya kikasaidia, then saidia nchi yako kwa kushauri, what should we do, ili kuisaidia nchi yako.

As the Corona situation ya maambukizi ya local transmissions is escalating, nimenote huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi yetu tumeanza kunyoosheana vidole vya kulaumu, kuwa hatukufanya hiki au kile ndio maana maambukizi yamefikia kiwango hiki, kwa hapa tulipo, badala ya kulaumu, nini hakukufanyika, toa ushauri wa kusaidia, lets share the best practices za nini kifanyike sasa kusaidia hapa tulipo before its too late.

Tangu kuibuka kwa janga hili la Corona Mwezi December mwaka jana, kila nchi ilichukua hatua za kuzuia na kujiandaa kukabiliana nayo ki vyake vyake. Sisi Tanzania pia kupitia serikali yetu nasi tulichukua hatua kivyetu. Ziko nchi za jirani zetu wao waliamua kuchukua hatua zao kwa copy and paste ya nchi nyingine walichofanya ikiwemo hatua ya lockdown, Tanzania tukaamua hatuigi, hakuna lockdown na rais wetu Magufuli kutuondoa wasiwasi kwa kusema Tusitishane, na kutuhimiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu na kusema haka ka Corona ni ka ugonjwa kadogo, ni kashetani, tuka mkabidhi Mungu, na kwenye Mungu akatenda. Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100% - JamiiForums

Mwanzoni Mungu ametenda na mpaka sasa anaendelea kutenda, jana tumemaliza siku 3 za maombi ya kitaifa dhidi ya janga la Corona, hivyo tunamuomba Mungu huku tunajisaidia.

Kufuatia kuongezeka kwa kasi ya maambukizi ya Corona, huku kwenye mitandao ya kijamii, tunaanza kulaumiana na kunyoosheana vidole kuwa Corona inasambaa kwasababu hatukufanya abcd.

Hii ni mifano

Mkuu Nguruvi3 at this juncture, lets stand as one kusaidia. Je, Watanzania wenye uwezo wa kusaidia, jee tuisaidiaje serikali yetu ili ishindindwe?.

Kwa vile sasa ni April na umma haupukutiki bali unaambukizwa, na kwa vile umeishajua kuwa mwezi May umma utapukutuka, hivyo unashauri tujiandae kuona umma unavyopukutika!, kwanini usisaidie kuzuia umma wa Watanzania usipukutike?

Usaidizi huo, sio lazima uwe kama ule wa Rostam Aziz or Mo Dewji, bali hata kwa kuandika tuu humu jf na vyombo vyetu vya maamuzi watasoma na kufanya uamuzi wafuate au waache, ili itakapofika hiyo May, tutakapo anza kuona na kushuhudia jinsi watu wanavyopukutika, angalau tutasema, tuliona kabla, tukaonya, tukashauri, tukapuuzwa na sasa haya ndio matokeo.

Kwenye situation hii tuliofikia, swali langu hili
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums


Mkuu Retired, if you can help, just help out, kama una ushauri mzuri wa jinsi ya kusaidia, wewe toa tuu huo ushauri, sasa issue ya kama ushauri wako utapokelewa utakubaliwa au utafanyiwa kazi au laa, hili sio letu, hili ni la ngazi za maamuzi, whether ushauri wako utatekelezwa au utapuuzwa, hili sio lako, wewe utakuwa umetimiza wajibu wako na huu ndio uzalendo wako kwa nchi yako.

Hitimisho
Nimalizie kwa kutoa wito, janga la Corona ni janga letu sote sisi Watanzania, haijalishi uko wapi na unaishi nchi gani, as long as wewe ni Mtanzania, hata kama umejilipua, lakini kwenu ni Tanzania, una wajibu wa kuisaidia nchi yako kwenye nyakati kama hizi. Huu sio wakati wa kulaumiana na kunyoosheane vidole vya we didn't do this and that, huu ni wakati wa kusimama pamoja, kushikamana na kusaidiani, kama unaweza kusaidia kwa lolote, chochote, hali na mali au hata ushauri tuu to help out the situation, please just do!, usisubiri uombwe, msaada na yeyote. Jitokeze tuu saidia!. Vinginevyo...Nyamaza!

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom