kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Hii ni kwa sababu baadhi ya watanzania tuna safari muhimu sana humu humu nchini ila ikitokea kama inayotokea Uganda, Rais anaamka na kutangaza marufuku ya kulala lodge, ama kutoka nje,italeta shida sana.
Maana unakuwa umesafiri na upo lodge.Ghafla inatoka marufuku ya kulala lodge,halafu kama haitoshi inakuja marufuku ya kusafiri, mbaya zaidi pia ipo marufuku ya kutoka nje. Hali hii italeta maumivu na adha kubwa sana.
Naomba serikali yangu kama kuna dalili za kuongezeka kwa matukio ya kupata wagonjwa wapya,ama kuna wasi wasi wa kuenea kwa ugonjwa huu, ianze kutoa tahadhari mapema ili watu walio safari warudi ama walio na mpango wa kusafiri mikoani waache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana unakuwa umesafiri na upo lodge.Ghafla inatoka marufuku ya kulala lodge,halafu kama haitoshi inakuja marufuku ya kusafiri, mbaya zaidi pia ipo marufuku ya kutoka nje. Hali hii italeta maumivu na adha kubwa sana.
Naomba serikali yangu kama kuna dalili za kuongezeka kwa matukio ya kupata wagonjwa wapya,ama kuna wasi wasi wa kuenea kwa ugonjwa huu, ianze kutoa tahadhari mapema ili watu walio safari warudi ama walio na mpango wa kusafiri mikoani waache.
Sent using Jamii Forums mobile app