Corona, au uviko ni ugonjwa halisi na upo duniani kote hadi sasa umeingia hadi Alaska nchi zenye baridi sana.
Magonjwa yote yatokanayo na virusi hukabiliwa(huzuiwa) na Chanjo (vaccine) tangu enzi za Nuhu. hakunaga anti-virus kama vile Anti-biotics ambazo huuwa Bacteria.
Baadhi ya magonjwa yatokanayo na Virus ambayo yamedhibitiwa na chanjo hadi sasa
1. buba (yowes)
2. Ndui ( small -pox
3. Surua (miseales)
4. Ugonjwa wa kupooza (polio)
na sasa COVID-99 kanuni ni ile ile.
Jamani Sayansi huwa haidanganyi, ila Imani au ulimwengu wa kiroho ni mambo ya kufikirika na kusadikika tu huwezi kuyadhibitisha kwa kanuni yoyote.
Mfano MV Bukoba ilizama kwa sababu ya kupakia mzigo mwingi hadi kuvunja kanuni fulani iitwayo ARCHIMEDES PRINCIPLE LAW OF FLOATATION. ambapo ili kitu kielee inabidi density ya maji iwe kubwa kuliko kitu kenyewe kikiizidi kitazamaa tu. Hivyo basi ikitokea MV Bukoba ingine ijaze mzigo kama ile iliyozama nayo itazama tu hata mkeshe mkiomba, Sayansi huwa haidanganyi.
CORONA ipo, na ni halisi imetafutiwa chanjo aina mbali mbali kuikabili mfano wa chanzo za Corona ni kama Modenna, Payunk, Ziteccazitecaa, Johnsons-Johnsons ni hivyo.Mungu kasaidia jitahada za walimwengu wamepata chanjo ya CORONA walimwengu Mkachanje, Ukipata virus wa Corona waingie mapafuni utakufa tu hata ukeshe ukiomba
Aksanteni -Dr. Engutan-K
Magonjwa yote yatokanayo na virusi hukabiliwa(huzuiwa) na Chanjo (vaccine) tangu enzi za Nuhu. hakunaga anti-virus kama vile Anti-biotics ambazo huuwa Bacteria.
Baadhi ya magonjwa yatokanayo na Virus ambayo yamedhibitiwa na chanjo hadi sasa
1. buba (yowes)
2. Ndui ( small -pox
3. Surua (miseales)
4. Ugonjwa wa kupooza (polio)
na sasa COVID-99 kanuni ni ile ile.
Jamani Sayansi huwa haidanganyi, ila Imani au ulimwengu wa kiroho ni mambo ya kufikirika na kusadikika tu huwezi kuyadhibitisha kwa kanuni yoyote.
Mfano MV Bukoba ilizama kwa sababu ya kupakia mzigo mwingi hadi kuvunja kanuni fulani iitwayo ARCHIMEDES PRINCIPLE LAW OF FLOATATION. ambapo ili kitu kielee inabidi density ya maji iwe kubwa kuliko kitu kenyewe kikiizidi kitazamaa tu. Hivyo basi ikitokea MV Bukoba ingine ijaze mzigo kama ile iliyozama nayo itazama tu hata mkeshe mkiomba, Sayansi huwa haidanganyi.
CORONA ipo, na ni halisi imetafutiwa chanjo aina mbali mbali kuikabili mfano wa chanzo za Corona ni kama Modenna, Payunk, Ziteccazitecaa, Johnsons-Johnsons ni hivyo.Mungu kasaidia jitahada za walimwengu wamepata chanjo ya CORONA walimwengu Mkachanje, Ukipata virus wa Corona waingie mapafuni utakufa tu hata ukeshe ukiomba
Aksanteni -Dr. Engutan-K