#COVID19 Corona ni Mtihani, Jee Ummy Mwalimu Amepasi Mtihani?. Mnaonaje Ampokee Majaaliwa as PM, na Majaliwa Ampokee Magufuli?.

Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.

Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
  1. KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
  2. Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  3. Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  4. Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
  5. Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,


Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.

Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.

Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.

Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.

Paskali

P kumbuka na kurejea:
“Small minds discuss people. Average minds discuss events. Great minds discuss ideas.”
AMEN
 
Acha uongo wewe kujifukiza ndiyo ilikuwa tiba yetu kule kijijini enzi za mwalimu, Ndugulile kazaliwa ocean load atajulia wapi nyungu. Kwa taarifa yako kuanzia 1974 mpaka 1984 Tanzania hapakuwa mahali salam kuishi lakini watanzania wa wakati ule walienda na nyimbo za Mwalimu Nyerere, tulikubali umaskini ni wetu na nchi ni yetu na rais ni wetu.Tulipambana na majanga makubwa mawili;
Kwanza Viata vya NDULI AMINI, Pili njaa. Dawa mahospitalini hazikuwepo, malaria, kifua yote yalitibiwa kwa njia ya kujifukiza.

Acheni kudanganya watu enzi hizo maduka yalikuwa ya kijiji hapakuwa na atelnative shops, tulipanga foleni kupata mahitaji, duka lilikuwa na bidhaa tatu tu, sabuni sukari na chumvi. Leo mna kila kitu halafu mnabeza kujifukiza, UJINGA MTUPU
Kujifukiza ni kwa ajili ya kufungua njia ya hewa kutokana na mafua. COVID-19 hawaji kwa njia ya mafua tu bali wanakuwepo kwenye blood stream hivyo wanazivamia cells na kufanya mabonge ya damu kwenye mishipa ambayo inaleta embolism za aina zote.Sasa kujifukiza kunaweza vipi kufanya damu iwe nyepesi? Wewe umeangalia upande mmoja tu wa kuwa na shida kwenye njia ya hewa ambayo hata hivyo kujifukiza siyo dawa iliyothibitishwa inatibu kwa asilimia 100, ndiyo maana wazee wetu wengine walipona wengine walikufa, na wote walijifukiza kama mnavyofanya leo (Wengine wanakufa, wengine wanapona kutegemeana na jinsi ugonjwa ulivyoshambulia mapafu, koo au kwenye damu/cells)
Bado kujifukiza siyo tiba kwa asilimia kubwa....Kwa mafua ya kawaida ni sawa ila kwa COVID-19 inaweza kusaidia kwa kiasi fulani ukichanganya na dawa zingine.
 
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.

Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
  1. KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
  2. Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  3. Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  4. Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
  5. Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,


Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.

Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.

Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.

Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.

Paskali

Paskali, kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo na uwezo wako wa kuwasilisha mada zenye mashiko unazidi kudumaa, yaani huoni aibu kuandikia Umma kwamba unamuangalia Ummy kwa umbo lake na kwamba unataka kutushawishi kumuona anafaa kuwa kiongozi mkuu wa mawaziri ?, watanzani bado tuko kwenye matope, yaani wewe ndio mjanja miongoni mwa wasukuma walio wengi ?, yaani wewe ndie uliewatangulia wasukuma wenzako kutangulia walau kuingia mjini mapema ?, kupata hako kaelimu kidogo ??, shame on you
 
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.

Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
  1. KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
  2. Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  3. Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  4. Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
  5. Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,


Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.

Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.

Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.

Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.

Paskali


P,
Ana sifa moja ambayo wengi kwenye serikali ya Magu hawana. Ni Mzuri kwenye mawasiliano na ni rahisi kumwelewa.
 
Hao waliong'olewa ndio wataalam na walitaka kufuata miongozo sahihi ya WHO, siyo mambo ya kujifukiza na kufuata mitishamba ya Madagascar. Tutapata jibu mwezi wa sita na wa saba nani alikuwa sahihi katia ya aliyetumbua na waliyotumbuliwa. Tuna hii clip tuitazame tena wakati huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe hadi leo hujapata jibu? Hujiulizi kwanini watu walikuwa wanazikwa usiku? Hujiulizi kwanini takwimu zilikuwa zinafichwa?
 
Pascal Mayalla najua umemuelewa sana huyo dada, hupo peke yako mkuu hata mimi, dada kakamilia kwa kweli.

Ila anatakiwa kujiunga na upinzani kama Bulaya hapo ndipo tutamkubali Zaidi. Na chama cha ACT ndio wanaendana kabisa, Karibu Upinzani Ummy.
 
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.

Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
  1. KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
  2. Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  3. Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  4. Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
  5. Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,


Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.

Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.

Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.

Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.

Paskali

Ummy kafanikiwa kuficha ukubwa wa ugonjwa
 
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.

Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
  1. KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
  2. Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  3. Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  4. Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
  5. Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,


Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.

Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.

Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.

Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.

Paskali

Kilichomsaidia ni kukubali kila agizo na kutumikia usiri na amri za kuficha ukweli kama alivyoagizwa. Waliojifanya wajuaji kama vile naibu wake wameishia nje. Kwahiyo ni hatari sana kufikiri Ummy anauwezo, labda uwezo wa kuficha ukweli kwa gharama ya maisha ya wanachi.
 
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.

Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
  1. KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
  2. Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  3. Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  4. Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
  5. Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,


Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.

Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.

Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.

Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.

Paskali

Sasa kuna tatizo gani kama watu hawaendi hospitali wanajiponya wenyewe hata huko ulaya walitangaza kwamba wale serious cases tu ndio waende hospitali after all ugonjwa wenyewe hauna dawa. Nchi zingine ulaya zikatutangazia kifo siye wazee wenye umri kuanzia miaka sitini tusionekane kabisa hospitali au hamkusoma jamani?
Tuombee nchi yetu Mungu atuepushe ni hili balaa kwani nikiangalia raia wa nchi yetu watu wemgi hata fedha ya kununua barakoa hawana na wengine wengi hawajui hili gonjwa na wengine wengi hawajali kama huku Arusha terrible kama utavamia kikwelikweli basi hakuna atakae baki mzima. Ndio maana tunaungana na Rais wetu mpendwa kwamba tuzidi kumuomba na kumshukuru Mungu. Wazungu walijua kwamba ikifika April Tanzania hasa Dar es alaam tutakufa kama kuku wanaogua kideri lakini wapi nguvu ya Mungu imetamalaki wao ndio wanapuputika pamoja na utajiri wao pamoja na elimu yao pamoja na majigambo yao. Usidharau dawa asili mke wangu ana wiki sasa amepona hapa hapa nyumbani Tunamshukuru Mungu.
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.

Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
  1. KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
  2. Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  3. Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  4. Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
  5. Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,


Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.

Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.

Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.

Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.

Paskali


Kati ya comments nyingi za kijinga za Mayalla, hii imezizidi zote.
 
Back
Top Bottom