Mabibi na mabwana hii ni habari njema na kumbe kweli inawezekana. New Zealand kafanikiwa kumgaragaza kirusi Corona vilivyo.
Hii leo kwa siku ya 17 hawana mgonjwa hata 1 wala maambukizi yoyote. Yote hii si kwa nyungu, maombezi wala mitishamba. Si kwa ubabarishaji wala kwa takwimu magumashi bali kwa kupambana
Wewe ni beberu kwa lugha yetu ya hapa kwetu 'ikungu lya bashashi'. Lakini kwa hakika tutake tusitake, kwa hili tunacho cha kujifunza
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Kongole kwako beberu, umetuonyesha njia acha tuone kama nasi tutanyoa au tutasuka.
Source:
Tokea hapa, beberu anaondoa lockdown ndani ya nchi, macho kumchuzi, mipaka inaendelea kufungwa pia international flights zote zinaendelea kusimama.
Corona virus uletaye Covid-19 siku zako kwa waungwana wote zinaweza kuwa kweli zinahesabika!
Hii leo kwa siku ya 17 hawana mgonjwa hata 1 wala maambukizi yoyote. Yote hii si kwa nyungu, maombezi wala mitishamba. Si kwa ubabarishaji wala kwa takwimu magumashi bali kwa kupambana
Wewe ni beberu kwa lugha yetu ya hapa kwetu 'ikungu lya bashashi'. Lakini kwa hakika tutake tusitake, kwa hili tunacho cha kujifunza
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Kongole kwako beberu, umetuonyesha njia acha tuone kama nasi tutanyoa au tutasuka.
Source:
Tokea hapa, beberu anaondoa lockdown ndani ya nchi, macho kumchuzi, mipaka inaendelea kufungwa pia international flights zote zinaendelea kusimama.
Corona virus uletaye Covid-19 siku zako kwa waungwana wote zinaweza kuwa kweli zinahesabika!