Corona: "Media tunakufa kizungu na tai shingoni!", asante Waziri Mwakyembe kutambua mchango wetu. Serikali/jamii please do something, tutakwisha

Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

========

NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.
Duh...!. Could it be
Or sababu hizi

P
 
Pascal Mayalla,

Prof. P. Kabudi : Mtu ni Afya, Mitishamba, Dawa Asili, Tiba-Lishe, Mahali pasipo Daktari ktk muda huu wa Covid-19

Unaona video clip hapo juu Prof. Palamagamba Kabudi ambaye pia ni mwandishi wa habari mstaafu akielezea umuhimu wa kitu kinachoitwa Afya ya Jamii ambayo kazi kubwa wenzetu mabwana / bibi Afya wa halmashauri, wilaya na miji wanaifanya kuhakikisha makaazi yeti hayawi hatari kwetu sisi wenyewe na jirani zetu pia.

Ningependa kuona waandishi wa habari kuwahoji hawa wataalamu wa Afya ya Jamii (Public Health) wanavyopanga na kutekeleza mikakati hii ya kupambana na Covid-19 wakishirikiana na matabibu, waganga, wanasiasa na wadau kama sekta ya Uandishi habari ili tuishinde vita hii.

Hivyo kama Prof. Palamagamba Kabudi kila siku anatukumbusha tusome historia na kuacha kulaumu mfano mbona Prof. Palamagamba Kabudi kenda Madagascar wakati Ummy Mwalimu yupo n.k kumbe Prof. Palamagamba Kabudi ana mambo mengi zaidi ya fani ya sheria na ndiyo maana tunamuona mstari wa mbele ktk hata masuala ya Public Health kupambana na Covid-19
Tuwakumbushe watawala wa Afrika kuwa kushika hatamu haukufanyi ugeuke kuwa injinia, daktari, mhasibu, mwanasayansi au mtaalam zaidi! Power doesn’t suddenly increase your knowledge or qualify you to be anything more than you were! Waache u-much-know wawe humble!
 
Back
Top Bottom