UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Hujanielewa,hoja yangu si ubaya au uzuri wa hilo jambo bali hoja yangu ni kwamba hilo jambo ni la muda mrefu hivyo si la kushangaa.Kwani nani kasema mikusanyiko imeanza leo?
Wizi haujaanza leo, je, tukatae kuwashitaki na kuwafunga wezi kwa sababu wizi ni kitu cha kawaida hakijaanza leo?
Mauaji hayajaanza leo, je, tukatae kuwashitaki na kuwafunga wauaji kwa sababu mauaji hayajaanza leo?
Ni sawa na kusikia matukio ya Bokoharam huko Nigeria,si mazuri ila huwa si ya kutushangaza maana tushazoea kusikia matukio yao.