Mabibi na mabwana kama ilivyo katika somo hapo juu, huo ndiyo ulio ukweli mchungu. Kwamba tupo hapa leo, kimungu mungu tu. Kweri?
No! It shouldn't be!
Anasema Prof. Bisanda, heshima kwake:
"Watanzania wengi wanadhani ugonjwa huu utawapata wengine, wasitambue kuwa hata pale wanapopata maambukizi, huwa wamekuwa wazembe kujilinda."
Ninaamini aliyasema hayo akizingatia hali yetu halisi leo (hapa nchini) kuhusiana na ugonjwa huu.
Ni aibu kubwa kuwa hata wengi wa wenye kujitambua kama Profesa huyu, wameamua kuuchuna kwa tamaa na njaa tu za matumbo yao. Kwao ni heri kufa huku wakiwa wameshiba matumboni, kuliko kuishi huku ikiwalazima kula kwa majasho yao.
Wamepotea wapendwa wetu wengi. Wapi walipokosea wao? Wapi tulipopatia sisi? Wapi tulipokosea ambapo labda tumeshaparekebisha kiasi sasa tuko salama zaidi kuliko ilivyo kuwa hapo kabla?
Wamepotea vigogo na wazito wenye majina na vyeo vikubwa vikubwa, sembuse akina yakhe?
Murphy's law inasema: "If anything can go wrong, it will go wrong."
Kwa maana kwamba kama mambo yanaweza kwenda mrama, basi ndani ya mazingira yale yale ni suala la muda tu kwani yatakwenda tena mrama!
Hivi hata katika mkuluro wa vifo vinayotukumba, kitu gani tumefanya ili tusiendelee kukumbwa navyo?
Tunaogelea mle mle na ngonjera zile zile za masaa 48 kwa siku. Barakoa za kuzuia mate, pongezi kwa wasiovaa barakoa. kejeli kwa waliovaa barakoa.
Ukweli mchungu, kwa hali hii, tayari kwa leo tumeshawatakia wapendwa wetu kupumzika kwa amani. Kesho kama si sisi wapo tena watakaofuata kwa janga hili hili kama ambavyo wengine bado wataendelea kutangulia hadi hapo 23:59.
Anasema Albert Einstein kuwa:
"Insanity is doing the same thing over and over again, expecting to get different results."
Kwa tunayoyafanya:
Ugonjwa huu utapiga hodi sana na kila mahala. Leo kwao, kesho kwangu, kesho kutwa kwako, nk nk.
Itambulike kuwa kutofautiana na mtukufu rais kwenye jambo lolote, achilia mbali kwenye jambo muhimu lenye nia ya kuwahami watu kama hili si dhambi wala uhaini.
Ninachelea kuwaalika ma pro life wote, ikiwapendeza Sirro na Mambosasa nao wakiwamo, pia wewe, yule na mimi tukutane Tahrir square katika siku muafaka kwa ajili ya kupiga kelele.
Obviously, the status quo is not an option!
United we stand.
Ninawasilisha.
No! It shouldn't be!
Anasema Prof. Bisanda, heshima kwake:
"Watanzania wengi wanadhani ugonjwa huu utawapata wengine, wasitambue kuwa hata pale wanapopata maambukizi, huwa wamekuwa wazembe kujilinda."
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21
THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA OFFICE OF THE VICE CHANCELLOR P.O. Box 23409 Tel: 255-22-2668992/2668445 Dar es Salaam, Tanzania Fax: 255-22-2668759 http://www.out.ac.tz E-mail: vc@out.ac.tz WARAKA WA TAHADHARI YA MAAMBUKIZI YA COVID 19 NA 21 8 Februari 2021, Dar es Salaam, Ndugu...
www.jamiiforums.com
Ninaamini aliyasema hayo akizingatia hali yetu halisi leo (hapa nchini) kuhusiana na ugonjwa huu.
Ni aibu kubwa kuwa hata wengi wa wenye kujitambua kama Profesa huyu, wameamua kuuchuna kwa tamaa na njaa tu za matumbo yao. Kwao ni heri kufa huku wakiwa wameshiba matumboni, kuliko kuishi huku ikiwalazima kula kwa majasho yao.
Wamepotea wapendwa wetu wengi. Wapi walipokosea wao? Wapi tulipopatia sisi? Wapi tulipokosea ambapo labda tumeshaparekebisha kiasi sasa tuko salama zaidi kuliko ilivyo kuwa hapo kabla?
Wamepotea vigogo na wazito wenye majina na vyeo vikubwa vikubwa, sembuse akina yakhe?
Murphy's law inasema: "If anything can go wrong, it will go wrong."
Kwa maana kwamba kama mambo yanaweza kwenda mrama, basi ndani ya mazingira yale yale ni suala la muda tu kwani yatakwenda tena mrama!
Hivi hata katika mkuluro wa vifo vinayotukumba, kitu gani tumefanya ili tusiendelee kukumbwa navyo?
Tunaogelea mle mle na ngonjera zile zile za masaa 48 kwa siku. Barakoa za kuzuia mate, pongezi kwa wasiovaa barakoa. kejeli kwa waliovaa barakoa.
Ukweli mchungu, kwa hali hii, tayari kwa leo tumeshawatakia wapendwa wetu kupumzika kwa amani. Kesho kama si sisi wapo tena watakaofuata kwa janga hili hili kama ambavyo wengine bado wataendelea kutangulia hadi hapo 23:59.
Anasema Albert Einstein kuwa:
"Insanity is doing the same thing over and over again, expecting to get different results."
Kwa tunayoyafanya:
Corona ni uzembe wetu isingetufikia, na itatumaliza tusipoamka sasa - ukweli mchungu
Corona umeanzia China sote tukiusikia na kufahamu unaambukizwa vipi na namna gani unaweza kutufikia. Tulijua namna gani tunaweza kufanya usitufikie. Nchi kama Uganda hadi sasa wako salama na wamejizatiti haswa usiwafikie. Hiyo si ajali bali ni utashi. Japo tulijua: Sisi na viongozi wetu...
www.jamiiforums.com
Ugonjwa huu utapiga hodi sana na kila mahala. Leo kwao, kesho kwangu, kesho kutwa kwako, nk nk.
Itambulike kuwa kutofautiana na mtukufu rais kwenye jambo lolote, achilia mbali kwenye jambo muhimu lenye nia ya kuwahami watu kama hili si dhambi wala uhaini.
Ninachelea kuwaalika ma pro life wote, ikiwapendeza Sirro na Mambosasa nao wakiwamo, pia wewe, yule na mimi tukutane Tahrir square katika siku muafaka kwa ajili ya kupiga kelele.
Obviously, the status quo is not an option!
United we stand.
Ninawasilisha.