johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,531
- 141,330
Nimeikuta hii kwenye makala moja ya kitabibu kwamba kirusi cha corona kinachosababisha ugonjwa wa Covid 19 kina uwezo wa kusafiri umbali wa futi 13.
Hivyo wataalamu hao wanashauri kàtika mkusanyiko wowote umbali kati ya mtu na mtu kwa kila upande ili kujilinda na maambukizi ni lazima uwe mita 4 au zaidi.
Hivyo uwapo kwenye mkusanyiko wowote chukua tahadhari hiyo ili Ujilinde wewe mwenyewe na Umlinde mwenzio.
Mungu awabariki.
Maendeleo hayana vyama!
Hivyo wataalamu hao wanashauri kàtika mkusanyiko wowote umbali kati ya mtu na mtu kwa kila upande ili kujilinda na maambukizi ni lazima uwe mita 4 au zaidi.
Hivyo uwapo kwenye mkusanyiko wowote chukua tahadhari hiyo ili Ujilinde wewe mwenyewe na Umlinde mwenzio.
Mungu awabariki.
Maendeleo hayana vyama!