The Masterpiece
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 385
- 1,000
Unawaza pesa tu muda wote ndio maana huchoki kuchongea wenzio ili upate chochote.
Unajidhalilisha sana ndugu
Unajidhalilisha sana ndugu
Mlungula ni pesa zinatolewa kwa lengo la kutongoza, grants sio mlungula ni ufadhili, hivyo nchi na mashirika haya yanapotusaidia, yanakuwa ni nchi rafiki, nchi wahisani, development partners, ila wanapotuingilia mambo yetu ya ndani, then wanakuwa mabeberu.Lakini pia sio vizuri kufikiria kupokea mlungula kutoka kwa mabeberu
Wote walio interact na yule first victim, wamechukuliwa sample na ikaletwa maabara Dar ikapimwa, so far bado hakuna maambukizi yoyote locally.Siyo kwamba hakuna maambukizi bali vipimo hamna/havifanyiki!
No sio kuwaza pesa bali ni kuwa open minded. Closed minded wanasubiri kila kitu kiagizwe, hivyo kupeleka pesa nje ni poa lakini Watanzania wakijituma kutengeneza supplies due to increased demand hawa kazi yao ni kuwaza pesa!.Unawaza pesa tu muda wote ndio maana huchoki kuchongea wenzio ili upate chochote.
Unajidhalilisha sana ndugu
Tofautisha kuiombea Corona ije, na kuchangamkia fursa za Corona.Wewe si ulimtuhumu technically na ukamwita Shetani baada ya kuona Corona ni fursa kisiasa, so wewe sio shetani kwa kuona ni fursa kiuchumi?!
Thanks.Wewe ni kilaza sana, I was respecting you a lot but as for now you are stupid baboon#
Taiwan imepeleka US tons ya misaada ya Saniizers, na MasksHivyo vitu vipatikane wapi?, vishushwe kutoka mbinguni kama mana?. Ile kuvitengeneza tuu ni fursa!. Tuna viwanda kibao vya madawa, sasa tunasubiri ndege ya kutoka China ituletee sanitizers na masks za kututosha wakati tuna fursa ya kuzitengeneza wenyewe!.
P
Mamia ya wageni wanapitia airports bila kuwa detected na mwishowe wanajichanganya na wenyeji kama ilivyokuwa kwa mwana FA!Uganda hadi sasa hivi haijagundua kisa chochote mpaka sasa hivi ila wamefunga mipaka yao yote ila sisi Tanzania akina Polepole ndiyo wanatoa matamko ya kupambana na Corona! Hatupo serious!Wote walio interact na yule first victim, wamechukuliwa sample na ikaletwa maabara Dar ikapimwa, so far bado hakuna maambukizi yoyote locally.
P
Wewe si ulimtuhumu technically na ukamwita Shetani baada ya kuona Corona ni fursa kisiasa, so wewe sio shetani kwa kuona ni fursa kiuchumi?!
Wewe ni kilaza sana, I was respecting you a lot but as for now you are stupid baboon#
Sent using Jamii Forums mobile app
Pasco!!!!!🤔Mlungula ni pesa zinatolewa kwa lengo la kutongoza, grants sio mlungula ni ufadhili, hivyo nchi na mashirika haya yanapotusaidia, yanakuwa ni nchi rafiki, nchi wahisani, development partners, ila wanapotuingilia mambo yetu ya ndani, then wanakuwa mabeberu.
P
Lakini pia sio vizuri kufikiria kupokea mlungula kutoka kwa mabeberu
Unawaza pesa tu muda wote ndio maana huchoki kuchongea wenzio ili upate chochote.
Unajidhalilisha sana ndugu
Mlungula ni pesa zinatolewa kwa lengo la kutongoza, grants sio mlungula ni ufadhili, hivyo nchi na mashirika haya yanapotusaidia, yanakuwa ni nchi rafiki, nchi wahisani, development partners, ila wanapotuingilia mambo yetu ya ndani, then wanakuwa mabeberu.
P
Hakuna tofauti, wewe unataka Corona iwepo ili tuitumie kupata fursa badala ya kupambana nayo iondoke. Opportunist period!Tofautisha kuiombea Corona ije, na kuchangamkia fursa za Corona.
P
Kumbe hizo pesa zitapita tu apa nasiokuingia kutumika ndani...Ebu nipe Elimu apa ndugu...unajua waswahili mna mambo mengiMlungula ni pesa zinatolewa kwa lengo la kutongoza, grants sio mlungula ni ufadhili, hivyo nchi na mashirika haya yanapotusaidia, yanakuwa ni nchi rafiki, nchi wahisani, development partners, ila wanapotuingilia mambo yetu ya ndani, then wanakuwa mabeberu.
P
Naona yote yale yale, kama alieiomba ije alikosea, sasa wewe ulitakiwa uhimize hata wasio na uwezo wa hizo mask na vingine wasaidiwe (kumbuka walemavu na wasiojiweza), but all in all, kutegemea kujinufaisha kupitia janga naamini ni dhambi mpaka kwa Mungu.Tofautisha kuiombea Corona ije, na kuchangamkia fursa za Corona.
P
Hivyo vitu vipatikane wapi?, vishushwe kutoka mbinguni kama mana?. Ile kuvitengeneza tuu ni fursa!. Tuna viwanda kibao vya madawa, sasa tunasubiri ndege ya kutoka China ituletee sanitizers na masks za kututosha wakati tuna fursa ya kuzitengeneza wenyewe!.
P