ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,904
- 3,850
Kama unataka kujuwa kama Zanzibar ni nchi subiri 12 Jan 2021 utizame jinsi Rais wa Tanganyika anavoingia mwanzo akifuatiwa na Rais wa Zanzibar. Tizama 2020 kwa unavomjuwa JPM kuingia kwenye ukumbi na asipewe nafasi ya kuongea. Hapo ndipo utajuwa kuwa Zanzibar ni nchi.