Corona imeniulia biashara zangu za China, nitaanza kudanga soon

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,628
Nilikuwa na vibiashara vyangu na Connection tamu na nzuri sana kutoka huko Aliexpress, Alibaba na mitandao mingi tu ya China kuhusu bidhaa.

Nilikuwa nishajenga hadi mahusiano ya ukaribu na wachina mitandaoni kiasi cha kuweza kununua mizigo mingi tu kwa punguzo.

Nilikua nimebase kwenye cosmetics na Electronics hususani vitu original.

Nilianza na mtaji mdogo sana nakumbuka mpaka nikaraise mpaka kwenye milioni 3 huko.

Ilikuwa biashara nzuri. Ukishakuwa na Connection China inakuwa raha, unajihisi kabisa upo kule.

Biashara unatumia lets say unatumia milioni 2 unakuja unapiga faida ya milioni 2 nyingine juu fasta ndani ya miezi miwili.

Toka hili Licorona limeingia ndo mambo yameharibika kabisa, sellers wangu almost 90% sijui wamekwenda wapi hawapatkani tena, bahati nzuri mizigo yote ilifikaga February mwanzoni huko.

Sijui ndiyo wamekufa? Hao waliobaki wanajitutumua tu lakini hamna kitu wanasema mpaka mwezi wa 8 huko wengine wanakuambia wapo active ila kuingia kwao online ni kwa shida shida tu.

Licorona limenivurugia kila kitu, haki ya mama kama ilitengenezwa na mtu alaaniwe mpaka kuzimu.

Na unajua tena Bongo bahati mbaya, ndugu zangu biashara zenyewe ukijaribu kununua ndani humuhumu hamna kitu. Biashara zinatembea mwendo wa kobe tu.

Mambo yakiwa magumu nitaanza kudanga. Nitadangia vibibi vya watu na majimama wastaafu

Nacheka kama mazuri ila Corona sio poa kabisa kwa ulichoyafanyia maisha yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona imeniudhi sana mimi kwasababu ya league za mpira kuahirishwa. Kwanza kabisa sisi wazee wa mikeka tumebakia na league chache sana za kubetia. Pia sisi wengine mpira ndio burudani yetu weekend wakati wengine wakijituliza na mabeibe zao sisi tunakula burudani ya mechi unashtukia Jumatatu hii hapa.

Alafu hii corona inatishia kutunyima ubingwa sisi Liverpool FC ubingwa tuliousubiri kwa miaka 30 ikiwa zilisalia mechi tatu tu tutwae ubingwa wetu 😭😭😭
 
Corona imeniudhi sana mimi kwasababu ya league za mpira kuahirishwa. Kwanza kabisa sisi wazee wa mikeka tumebakia na league chache sana za kubetia. Alafu hii corona inatishia kutunyima ubingwa sisi Liverpool FC ubingwa tuliousubiri kwa miaka 30 ikiwa zilisalia mechi tatu tu tutwae ubingwa wetu
Mimi hizi site za Wachina zilikua muhimu sana kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungejaribu masoko mengine kama ebay na amazon au masoko ya india unaweza pata connection mpya

Pole sana ila sikushauri kudanga unaweza kufa wakati korona inaisha
Huko ni ghali sana mkuu ndo maana nikaona bora alibaba na aliexpress na site nyinginezo amazon na ebay vitu ghali sana na shipping cost zipo juu na hata kutuma inachukua muda sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona imeniudhi sana mimi kwasababu ya league za mpira kuahirishwa. Kwanza kabisa sisi wazee wa mikeka tumebakia na league chache sana za kubetia. Alafu hii corona inatishia kutunyima ubingwa sisi Liverpool FC ubingwa tuliousubiri kwa miaka 30 ikiwa zilisalia mechi tatu tu tutwae ubingwa wetu
Wazee wa mikeka wamesimamishwa kazi bila malipo kwa muda usiofahamika.
 
Wazee wa mikeka wamesimamishwa kazi bila malipo kwa muda usiofahamika..
Nilivyoona tu umeni quote nikajua utaongelea mambo ya Liverpool.

Ligi ya Urusi tumebeti leo ila kwingine kila ukigusa zote postponed mara cancelled. Tumebakia na za South America, Africa na vinchi vingine vyakuibia ibia.
 
Poleni sana..

Kuhusu liverpool kunyimwa ubingwa itakuwa sio fair play..ishu ni makubaliano tu

Hii ni endapo corona itatulia muda ukiwa umeshaenda..

isipotulia itabidi tusahau kuhusu soka kwa kitambo kirefu
Nilivyoona tu umeni quote nikajua utaongelea mambo ya Liverpool.

Ligi ya Urusi tumebeti leo ila kwingine kila ukigusa zote postponed mara cancelled. Tumebakia na za South America, Africa na vinchi vingine vyakuibia ibia.
 
watu wa mikeka pia tumeatirika pakubwaaa!!!!!.. saivi tunaweka mikeka hata kwenye ligi ambazo hata hatuzijuii
 
Poleni sana..

Kuhusu liverpool kunyimwa ubingwa itakuwa sio fair play..ishu ni makubaliano tu

Hii ni endapo corona itatulia muda ukiwa umeshaenda..

isipotulia itabidi tusahau kuhusu soka kwa kitambo kirefu
Itaisha tu asee hii covid19. Kama ni man made alaaniwe alieitengeneza yeye na vizazi vyake vyote.
 
Back
Top Bottom