Soma post # 120.
Jaribu halitatupata kamwe isipokuwa lililokawaida,lkn katika yote kumbuka Bwana ataleta mlango wa kutokea.....halafu Mungu hapendi ROHO iangamie siyo mwili huu wa nyamaMwamposa..
Mzee wa upako..
Babu wa Loliondo..
Mwingira...
Kakobe...
Bulldozer....
GeoDavie..
Mmekuwa msaada mkubwa sana kwa wagonjwa wanaohitaji huduma ya uponyaji.
Mmekuwa mkijisifia sana kuhusu nguvu za kuponya mlizokuwa nazo.
Leo, waziri mkuu Italy ame declare kwamba wananchi wa Italy wamepoteza tumaini. Kwamba wamemwachia Mungu
Leo vifo vilivyotokana na Corona virus ni 800+
Ndio Muda wenu wa kudhihirisha kile mnachokuwa mkihubiri muda wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaendelea kuwepo makanisan kwa Sababu tunaami Mungu wetu ni mkubwa kuliko coronaHata baada ya yote haya bado waumini wapo pale pale na wanazidi kuongezeka kwenye hayo makanisa
Boss imani yako ndio itakuponya mimi sio nabii au mtume, ndio maana hata Yesu hakuwa akiponya wasio na imani wale wenye imani ndogo kama punje ya radani.nawashangaa sana hawa wanaojiita manabii, mitume na wachungaji kwa kuvuliwa nguo na COVID-19.
corona ndio ilitakiwa iwe kitu ya kuchukulia point tatu za kiubwete katika nyakati hizi.
Mpumbavu ni wewe usiyemwamini mungu, acha kiburi cha uzima ndugu uhai wako kwa mungu ni Kama utando wa buibui.
Sawa mie mtumwa ila wewe utakuwa mjinga,kwa sababu huyo Mungu haonekani wala hakuna njia ya kuwasiliana nae kwa kuweza kumuhoji. Sasa huko kuhoji unamuhoji nani? Au mwenzetu unaonanae huyo Mungu ndio maana unajisifu kuhoji?
Kwa sababu kama unaamini Mungu(mtumwa wa Mungu) na hauamini dini(sio mtumwa wa dini) basi huko kuhoji kwako inatakiwa umuhoji Mungu mwenyewe na sio kuhoji dini halafu unajisifu kuhoji.
Unajitia misifa ambayo mwenyewe unajiona una akili sana upo huru kumbe ni ujinga,huwa unanifurahishaga kweli.
Ushawahi kumhoji Mungu hata jambo moja tu?
Jambo dogo katika maisha, elezea kwann unaamini baba uliye naye ndiyo baba yako LIMEKUSHINDA umebaki una DUWAA Kama panya aliyezingirwa.
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?
Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?
Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.
Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?
Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.
Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.
Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.
Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?
Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.
Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?
Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?
Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?
Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?
Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?
====
Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?
Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?
Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.
Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?
Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.
Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.
Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.
Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?
Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.
Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?
Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?
Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?
Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?
Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?
====
Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Haya mtatizo ya mapepo au magonjwa ya akili ambayo tunayazungumzia hapa.
Kwa sababu habari za spiderman inajulikana kabisa ni kitu kilichobuniwa kwa ajiri ya movie,hakuna hata mtu aliyewahi kudai uwepo wa spiderman nje ya masimulizi ya movie. Lakini habari za madai ya uwepo wa Mungu zipo kwenye maisha halisi wanayoishi watu na zimeathiri maisha ya watu hivyo huwezi kufananisha na movie za spiderman.Unajuaje kua habari za mungu sio za kufikirika kama ilivyo spiderman?
Unaweza kuthibitisha?
It's Scars
Hawezi kushindana na kiumbe dhaifu kama yeye alivyo na maamuzi na alikuumba kwa mfano wake hivyo hivyo nawe unamaamuzi
Sio kawaida yangu kabisa kuamisha magoli,nimekuuliza swali hilo likuwa ndani ya tunachojadili. Nimekwambia mwanasayansi kuwa na dini ni sawa tu na mfanyabiashara kuwa na dini au mkulima kuwa na dini,kila mmoja hapo ana shughuli yake. Sasa wewe unahoji tu kwanini huyo mwanasayansi(mwanadini) asitumie dua badala ya sayansi katika kutatua matatizo mbalimbali? Ndiyo nakuuliza mbona auhoji hivyo kwa mkulima kwamba aache kulima na kuomba dua tu? Au kwa mfanyabiashara?Unachokihoji wala hakina relation yeyote na hoja yangu, hapa vyoona mwisho wa siku utauliza mbona simzungumzii baba yako
Kwanza kabla ya kutaka kuamisha magoli kwa wakulima nataka nijue hii hoja ya wanasayansi kua na dini tumeimalizaje??
It's Scars
Kwani wa-Italiano na wengine ni Wachina? Si ingeshughulikia Wachina peke yake.Dini imekataza kula popo, bundi na wanyama sasa wachina wakala na haya ndo matokeo yake
Kwa nini kiumbe kimekuwa dhaifu?Hawezi kushindana na kiumbe dhaifu kama yeye alivyo na maamuzi na alikuumba kwa mfano wake hivyo hivyo nawe unamaamuzi
Kama ambavyo wewe hujaamua kumuamini basi hawezi kukulazimisha your not a robot
MUNGU hawezi kuatafuta Watu kwa kuwahonga vitu ili wawe wake anatafuta wenye utayari
Kazi kwako sasa
Hapa naona unaelekea kwenye hoja nyingine fikirishi zaidi. Haya enhe Scars hakuchagua kuwa hivyo alivyo. Hivyo unamaanisha kwa neema ya Mungu scars kapendelewa kwa kuumbwa sio chizi wala sio mwanamke malaya. Lakini hapa duniani kuna machizi na wanawake malaya wengi sana hivyo nao pia hawakuchagua wawe hivyo kama ilivyo kwa scars. Kwa hii nadharia yako inaonesha wazi kuwaKwani wewe unao watoto nyumbani?
Hivi wakikusea na kuhamaki nao au kuwachapa ,inamaanisha kuwa huna upendo?
Au kufanya vile ndio unawarekebisha ili wawe watoto wazuri huko baadae?
sasa hapa lipi usilolifahamu kwa mungu,?
Hivi wewe unajuwa dhumuni la kuwepo kwako hapa ulimwenguni?
Unajuwa kwanini umekuwa mwanadamu na si panya wala mende?
Unaonaje ungelikuwa Mwanamke malaya watu wakawa wanapanda na kushuka kama mwendo kasi?
Au unaonaje ungelikuwa Kichaa ukawa unakula majalalani?
Au ,.......au....
Hivi ulichagua kuwa hivyo ulivyo?
Nafikiri nilimjibu yule jamaa kulingana na point yake aliyosemaKwa nini kiumbe kimekuwa dhaifu?