Wakuu
Habari zilizokuwa zinashikiliwa na wapinzani wa nchi hii wanategemea matukio ndio watrend sijui kwa sasa wanahali gani na wanapost vitu gani katika mitandao ya kijamii
Corona imeshindwa Tanzania, Rais amerejea ikulu leo kutokea chato
nini wapinzani na wanaojiita wanaharakati nchi hii wanaandika vitu gani muda huu au ndio mpaka tukio lingine lijitokeze?
Habari zilizokuwa zinashikiliwa na wapinzani wa nchi hii wanategemea matukio ndio watrend sijui kwa sasa wanahali gani na wanapost vitu gani katika mitandao ya kijamii
Corona imeshindwa Tanzania, Rais amerejea ikulu leo kutokea chato
nini wapinzani na wanaojiita wanaharakati nchi hii wanaandika vitu gani muda huu au ndio mpaka tukio lingine lijitokeze?