Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,373
- 45,583
Tatizo la Corona huko USA limeleta taharuki kubwa ya wananchi kukimbilia na kununua silaha zaidi
Kutokana na vifo vingi vya maambukizi haya na kufungiwa ndani (lockdowns)
Wananchi wameamua wengi wao kununua bunduki
Ingawa wataalamu wanasema sio woga tu
March 2020 FBI walileta takwimu zao za manunuzi ya bunduki tangu mwaka 1998 walipoanza takwimu hizi
21 March 2020 pekee imeonekana bunduki 210,000 zilinunuliwa na hii ni rekodi kubwa sana kwa manunuzi ya siku moja.
Data za FBI zinaonyesha bunduki zaidi ya million mbili zilinunuliwa kwa mwezi wa tatu tu mwaka huu, ongezeko la 1.1m ukilinganisha na mwezi wa tatu mwaka 2019
Illinois ndio inaongoza kwa manunuzi ya karibia nusu million ikifuatiwa na Texas, Kentucky, Florida na California
Nini kimewafanya watu wanunue sana bunduki wakati huu?
Professor wa Georgia State university law school bwana Timothy Lytton alipoulizwa akasema kuna mambo mawili makubwa, moja watu wanaogopa huenda siku moja idara na taasisi zikazidiwa uwezo wa kufanya kazi na kusababisha vurugu kubwa
La pili kujihami au survival tools kama wanavyoiita
Makala haya yameandikwa na majarida mengi na BBC pia
Kwa kumalizia, kama lockdown inaleta taharuki hivi katika taifa kubwa kama USA na watu wanafanya haya Kweli tujitafakari sana
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kutokana na vifo vingi vya maambukizi haya na kufungiwa ndani (lockdowns)
Wananchi wameamua wengi wao kununua bunduki
Ingawa wataalamu wanasema sio woga tu
March 2020 FBI walileta takwimu zao za manunuzi ya bunduki tangu mwaka 1998 walipoanza takwimu hizi
21 March 2020 pekee imeonekana bunduki 210,000 zilinunuliwa na hii ni rekodi kubwa sana kwa manunuzi ya siku moja.
Data za FBI zinaonyesha bunduki zaidi ya million mbili zilinunuliwa kwa mwezi wa tatu tu mwaka huu, ongezeko la 1.1m ukilinganisha na mwezi wa tatu mwaka 2019
Illinois ndio inaongoza kwa manunuzi ya karibia nusu million ikifuatiwa na Texas, Kentucky, Florida na California
Nini kimewafanya watu wanunue sana bunduki wakati huu?
Professor wa Georgia State university law school bwana Timothy Lytton alipoulizwa akasema kuna mambo mawili makubwa, moja watu wanaogopa huenda siku moja idara na taasisi zikazidiwa uwezo wa kufanya kazi na kusababisha vurugu kubwa
La pili kujihami au survival tools kama wanavyoiita
Makala haya yameandikwa na majarida mengi na BBC pia
Kwa kumalizia, kama lockdown inaleta taharuki hivi katika taifa kubwa kama USA na watu wanafanya haya Kweli tujitafakari sana
Sent from my iPhone using Tapatalk