Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Hili swali ni zuri sana ingawa huwezi kupewa majibu toshelezi zaidi ya kuambiwa Mungu anatulinda.
Hata hivyo hali si hali ya joto ni kubwa sana kwa mkoa wa Dar lakini watu wana mafua yasiyoisha pamoja na kukohoa sana na kuumwa, mawodini watu wapo hoi.
Hata hivyo hali si hali ya joto ni kubwa sana kwa mkoa wa Dar lakini watu wana mafua yasiyoisha pamoja na kukohoa sana na kuumwa, mawodini watu wapo hoi.