#COVID19 Corona: Bila Makavu itaondoka na Wengi

Umesema vyema sana Kiongozi. Sasa tunarudi kwenye hoja, kwamba, kwa kuwa chanjo haitibu maambukizi, na wala hahizuii maambukizi, na kama viongozi wetu wanakuwa wapenddwa watazamaji, tuchukue hatua sisi za kujilinda. Tuzingatie kanuni zote za Afya kama tulivyovanya kwa awamu zlizopita. Kuna dawa zetu zilitumika kutibu wagonjwa waliokuwa wanalazwa na pamoja na kwamba kweli tulipoteza ndugu na wapenzi wetu, lakini tulifanya vizuri kulinganisha na jirani zetu katika ukanda wetu.

Najua ni vigumu kumlazimisha abiria mwenzako avae barakoa ama afunike uso anapokohoa ama kupiga chafya. Ni vigumu abiria kudhibiti ujazaji abiria uliokithiri ikiwa hata vyombo vya serikali vinajaza lumbesa mfano mwendo kasi na pantoni, mbio za mwenge n.k. Trafic wako kila kona lakin hakuna hata anayesimamisha gari na kudhibiti lumbesa za abiria.

Hii , ki kwetu inaitwa "YATIMA HADEKI", na kwa kule unguja inaitwa "UTAJIJU",
Tuiombe serikali, japokuwa nasikia saauti inasema "kila mtu abebe mzigo wake", tuome isaidie kupeleka dawa zetu zilzotuvusha katika vipindi vilivyopita.

Ninakumbuka Rasi alitangaza tuombe Mungu kwa siku tatu. Kweli tuliomba na ilipatikana dawa ambayo inasemekana kutibu vizuri zaidi Delta Variant ambayo inasambaa kwa kasi kuliko zilzopita. Hiyo dawa itengenezwe kwa wingi na ipelekwe kila sehemu angalua kila raia apate. Hii inaonekana ni budget kubwa lakini si kitu ukilinganisha na hasara tunayoipta kwa kupoteza hazina zilizo ndani ya watu, gharama za machanjo n.k. Ni kiasi cha kuahirisha mbio za mwenge na kujikita kwenye kuzalisha na kusambaza dawa hizo wakati biashara ya Johnson ikiendelea.

Watu wanahitaji tiba kwanza kabla ya chanjo. Tiba iliyotusaidia, sasa hivi ukiizungumzia unakula ban. Kipaumbele ni chanjo ambayo hata haizuii maambukizi wala haitibu.

Kama serikali imetutelekeza hivyo, tupashane habari sisi wenyewe na kusaidiana namna ya kupeleka tib hata kwa wazee walioko vijijini.

Mungu aliyetusaidia, hata sasa atatusaidia. Tumtangulizeni yeye, na kisha tuungane bila ushaibiki wa kisiasa ama kibiashara. Kwa sasa tunahitaji tiba.
Chanjo inakinga na hivyo kusaidia kutibu,,, acha upotoshaji.
Zamani hatukuwa na record yoyote zaidi ya kupigwa marufuku hata kujisema mtu binafsi kuwa anaumwa corona ,hivyo hatungeweza kujilinganisha na yeyote.
Hiyo mitishamba haijakatazwa kuitumia ,usilazimishe legacy.
Chanjo inakinga, na hivyo kusaidia kutibu. Tusipotoshe kienyejienyeji.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Umesema vyema sana Kiongozi. Sasa tunarudi kwenye hoja, kwamba, kwa kuwa chanjo haitibu maambukizi, na wala hahizuii maambukizi, na kama viongozi wetu wanakuwa wapenddwa watazamaji, tuchukue hatua sisi za kujilinda. Tuzingatie kanuni zote za Afya kama tulivyovanya kwa awamu zlizopita. Kuna dawa zetu zilitumika kutibu wagonjwa waliokuwa wanalazwa na pamoja na kwamba kweli tulipoteza ndugu na wapenzi wetu, lakini tulifanya vizuri kulinganisha na jirani zetu katika ukanda wetu.

Najua ni vigumu kumlazimisha abiria mwenzako avae barakoa ama afunike uso anapokohoa ama kupiga chafya. Ni vigumu abiria kudhibiti ujazaji abiria uliokithiri ikiwa hata vyombo vya serikali vinajaza lumbesa mfano mwendo kasi na pantoni, mbio za mwenge n.k. Trafic wako kila kona lakin hakuna hata anayesimamisha gari na kudhibiti lumbesa za abiria.

Hii , ki kwetu inaitwa "YATIMA HADEKI", na kwa kule unguja inaitwa "UTAJIJU",
Tuiombe serikali, japokuwa nasikia saauti inasema "kila mtu abebe mzigo wake", tuome isaidie kupeleka dawa zetu zilzotuvusha katika vipindi vilivyopita.

Ninakumbuka Rasi alitangaza tuombe Mungu kwa siku tatu. Kweli tuliomba na ilipatikana dawa ambayo inasemekana kutibu vizuri zaidi Delta Variant ambayo inasambaa kwa kasi kuliko zilzopita. Hiyo dawa itengenezwe kwa wingi na ipelekwe kila sehemu angalua kila raia apate. Hii inaonekana ni budget kubwa lakini si kitu ukilinganisha na hasara tunayoipta kwa kupoteza hazina zilizo ndani ya watu, gharama za machanjo n.k. Ni kiasi cha kuahirisha mbio za mwenge na kujikita kwenye kuzalisha na kusambaza dawa hizo wakati biashara ya Johnson ikiendelea.

Watu wanahitaji tiba kwanza kabla ya chanjo. Tiba iliyotusaidia, sasa hivi ukiizungumzia unakula ban. Kipaumbele ni chanjo ambayo hata haizuii maambukizi wala haitibu.

Kama serikali imetutelekeza hivyo, tupashane habari sisi wenyewe na kusaidiana namna ya kupeleka tib hata kwa wazee walioko vijijini.

Mungu aliyetusaidia, hata sasa atatusaidia. Tumtangulizeni yeye, na kisha tuungane bila ushaibiki wa kisiasa ama kibiashara. Kwa sasa tunahitaji tiba.

1. Kwamba?

"...... Kuna dawa zetu zilitumika kutibu wagonjwa waliokuwa wanalazwa na pamoja na kwamba kweli tulipoteza ndugu na wapenzi wetu,"

Unamaana nyungu, mikaratusi, malimao, michai chai na matango pori mengine? Kuna mabingwa wa hayo kuliko hawa:

IMG_20210507_212540_605.jpg


IMG_20210418_164416_802.jpg


Umeshawauliza sasa hivi wanasema je?

Aisifuye mvua imemnyea!


2. Kwamba?

"lakini tulifanya vizuri kulinganisha na jirani zetu katika ukanda wetu."

Nani anakudanganya ulifanya vizuri kuliko nani? Kwa takwimu zipi? Kwani kulikimbia tatizo kuliwahi kuliondoa?

IMG_20210718_063455_991.jpg


Kwetu tumepoteza hadi Rais na makamu wa rais. Tumepoteza Mawaziri, wabunge na vigogo wa kila aina. Tumepoteza watu wangapi? Wewe unajua?

3. Kwamba?

"Ninakumbuka Rasi alitangaza tuombe Mungu kwa siku tatu. Kweli tuliomba na ilipatikana dawa ambayo inasemekana kutibu vizuri zaidi Delta Variant ambayo inasambaa kwa kasi kuliko zilzopita."

Nani asiyejua kuwa ugonjwa huu hauna dawa? Hata mtoto mdogo anajua hilo. Dawa gani mliyopata baada ya maombi ambayo labda wewe ndiye unayeijua peke yako? Au ni hii hapa?

IMG_20210806_053407_437.jpg


4. Kwamba?

"Watu wanahitaji tiba kwanza kabla ya chanjo. Tiba iliyotusaidia, sasa hivi ukiizungumzia unakula ban. Kipaumbele ni chanjo ambayo hata haizuii maambukizi wala haitibu."

Unadhani tatizo ni nini nani anahitaji kwanza? Tatizo ni nini kinawezekana sasa! Uliwahi kusikia TMDA au WHO kuhusiana na madawa ya binadamu?

😂😂😂😂 Elimu yako tafadhali.

5. Kwamba?

"Mungu aliyetusaidia, hata sasa atatusaidia. Tumtangulizeni yeye, na kisha tuungane bila ushaibiki wa kisiasa ama kibiashara. Kwa sasa tunahitaji tiba."

Mungu alikusaidia wapi mjomba? Unajua huu ugonjwa unakwenda kwa mawimbi? Moja baada ya jingine?

IMG_20210806_054127_199.jpg


Kila lijalo ni kubwa kuliko lililopo? Unajua kupita kwa wimbi moja si kwisha kwa ugonjwa?
 
Hivi hiyo Mitaa yenye misiba mingi iko wapi? au siishi mtaani!!!

Ili usipate taabu sana kuijua mingine hii hapa:

1. Kwenye msiba na mwenziwe:

IMG_20210805_083950_902.jpg


2. Kwa Keenja, Keenja asubuhi mke saa sita.

Hiyo ni nyumba moja moja. Kama bado huoni vya miwani ya mbao uliyovaa.
 
Mitaani misiba imekuwa mingi sana. Kwingine habari za mochwari kufurika zinasikika.

Maprofesa na hata vigogo ni baina ya wahanga.

Moja ya vipimo vya uhalisia wetu kuhusiana na huu ugonjwa ni hiki hapa:

View attachment 1878044

Babu Loliondo aliachwa kukusanya wagonjwa wa Corona nyumbani kwake pasipo na kuwepo tahadhari zozote.

Haya yakiendelea serikali na wizara ya afya wakiwa ni wapenzi watazamaji.

Bila ya kuwachukulia hatua kali wote waliozembea hata katika hili, kwa hakika hatutoboi.

Source: Babu wa Loliondo kuzikwa Samunge Jumatano
Serkali ilianza kwa kuuchukulia poa huu ugonjwa
FB_IMG_16279887156799927.jpeg
 
Don’t promote corona virus here

Wanatengeneza ma ugonjwa yao alafu wana kuja na chanjo zao kutubembeleza ili tununuwe chanjo zao ?
Kuna kitu wanacho kitaka awa wapumbavu

Ivi Africa kabisa kwanini atujiulizi kipindi Madagascar walitengeneza Dawa ya corona who waka ikataha kuwa sio nzuri
Leo iyi wanatuletea vichanjo vyao eti tuchanjwe uo ni ujinga afrika akuna kinacho shindikana tuachane nao awa
Wewe ni mjinga na usipochukua tahadhari stahiki ikiwemo kupiga chanjo utakufa.
 
Don’t promote corona virus here

Wanatengeneza ma ugonjwa yao alafu wana kuja na chanjo zao kutubembeleza ili tununuwe chanjo zao ?
Kuna kitu wanacho kitaka awa wapumbavu

Ivi Africa kabisa kwanini atujiulizi kipindi Madagascar walitengeneza Dawa ya corona who waka ikataha kuwa sio nzuri
Leo iyi wanatuletea vichanjo vyao eti tuchanjwe uo ni ujinga afrika akuna kinacho shindikana tuachane nao awa
Kama wazungu wametengeza ugonjwa, piga chanjo yao uishi, tengeneza ya kwako au usubiri ufe kibudu
 
Msisitizo wa corona unatoka ulaya. Haya magonjwa mengine tufanye wenyewe. Sigara ni starehe huwezi kataza watu,, unawapa tahadhari inatosha.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Magonjwa yote, dawa zote na chanjo zote zinazotolewa hospitalini zimegunduliwa na hao wazungu na hata wapinga korona wakiugua wanakimbilia hukohuko hospitali kutafuta tiba za kizungu. Ujinga mzigo sana!
 
Kama wazungu wametengeza ugonjwa, piga chanjo yao uishi, tengeneza ya kwako au usubiri ufe kibudu
Katika wale maadui watatu wa maendeleo yaani Ujinga Maradhi na Umaskini hili la ujinga kimeshika kasi nchi hii mpaka kwa wanaojiita wasomi. Bila ujinga kuondolewa kwenye jamii ya wasomi na wasiosoma maradhi na umaskini hayatakaa yaishe kwenye nchi yetu.
Don’t promote corona virus here

Wanatengeneza ma ugonjwa yao alafu wana kuja na chanjo zao kutubembeleza ili tununuwe chanjo zao ?
Kuna kitu wanacho kitaka awa wapumbavu

Ivi Africa kabisa kwanini atujiulizi kipindi Madagascar walitengeneza Dawa ya corona who waka ikataha kuwa sio nzuri
Leo iyi wanatuletea vichanjo vyao eti tuchanjwe uo ni ujinga afrika akuna kinacho shindikana tuachane nao awa
Kama unaamini kuwa virusi vya covid 19 wametengeneza wao basi amini pia kuwa wana uwezo wa kutengeneza dawa ya kuutibu ugonjwa huo. Hivyo wahi ukachanje au kama umri wako ni mdogo washauri wazazi wako wakachanje haraka.
 
Msisitizo wa corona unatoka ulaya. Haya magonjwa mengine tufanye wenyewe. Sigara ni starehe huwezi kataza watu,, unawapa tahadhari inatosha.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mkuu hata madawa ya kulevya ni starehe tena kubwa sana ila yamekatazwa kwa sababu ya madhara yake ni makubwa kwenye jamii, sasa na sigara nazo sina madhara sana kwenye za afya za watu kuliko faida.
 
Back
Top Bottom