Corona: Beberu agundue dawa haraka, sala pekee ya mzee baba

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,822
35,817
Moja kwa moja kwenye hoja. Itifaki zote zimezingatiwa.

Kwa rais msomi mwanasayansi wa kiwango cha mzee baba, haiingii akilini kuwa kuna wakati wowote alitegemea kuzuia ugonjwa huu kuingia nchini au hata kuzuia kusambaa kwa maombi, miti shamba au kujifukiza nyungu.

Haiingii akilini pia nyomi ya madaktari na ma Profesa alionao serikalini ati kuwa wote nao walikubaliana kwenye u Kinjekitile huu. Kuwa eti juu ya kunawa nawa na kuvaa mabarakoa, huku tukitumia madaladala, nyomi kama vile masokoni, kwenye ferry, nk, u Kinjekitile huo ungeondosha ugonjwa huu.

Ninadhani itakuwa kutowatendea haki wazamivu hawa kutotambua kuwa karata pekee aliyonayo mkuu huyu kwa kweli iko kwenye kutegemea kuwa hatimaye Beberu atagundua dawa au chanjo!

Hata hivyo kutegemea Beberu usiye na mawasiliano naye, usiye na ushirika naye kwenye hilo, unayemtuhumu kukuchawia kila uchao, nk; ni suala fikirishi kweli kweli kama si kipimo kamili cha uz***wa.

Mengine yote:

1. Kutosikiliza ushauri wowote mwingine
2. Kukataa kupokea simu za marais wenziwe
3. Kumwaga misukule humu jamvini
4. Kurusha jiwe gizani kuwa ligi inakuja
5. Kurusha jiwe gizani kuwa uchaguzi mkuu unakuja
6. Kutuma ndege Antananarivo kufuata kikombe cha babu
7. Kufuka nyungu
8. Maombezi
9. Mapapai, mbuzi, oil nk kupimwa Corona
10. Nk, nk

Yote ni janja ya nyani, akisubiria dodo kwenye mnazi huku akiendelea sisi kutochomesha mahindi.

Akiyafanya yote haya yeye yuko salama Chatto nyumbani kwake, mbali na hilu epicenter la huu ugonjwa.

Sisi katuachia jiji letu tuukabili muziki wake huku tukipukutika!
 
Wale wote wanaoita nchi zilizoendelea mabeberu, ajabu hawawezi ku survive bila kuwategemea mabeberu - kila kitu mnatoa kwao.

NI sawa na watu fulani kuziita nchi hizo za makafiri lakini wakipata shida ya ukimbizi ndiko huko wanataka kukimbilia, sio nchi ambazo sio za makafiri kama wao!
 
Katika sala za mzee baba, bado moshi ni mweusi.

Hadi pale Moshi utakapokuwa mweupe tutakuwa namba tumeisoma vilivyo.

Tunapokuwa tunafuka nyungu komaa beberu macho yetu na mzee baba yako kwako.
 
Moja kwa moja kwenye hoja. Itifaki zote zimezingatiwa.

Kwa rais msomi mwanasayansi wa kiwango cha mzee baba, haiingii akilini kuwa kuna wakati wowote alitegemea kuzuia ugonjwa huu kuingia nchini au hata kuzuia kusambaa kwa maombi, miti shamba au kujifukiza nyungu.

Haiingii akilini pia nyomi ya madaktari na ma Profesa alionao serikalini ati kuwa wote nao walikubaliana kwenye u Kinjekitile huu. Kuwa eti juu ya kunawa nawa na kuvaa mabarakoa, huku tukitumia madaladala, nyomi kama vile masokoni, kwenye ferry, nk, u Kinjekitile huo ungeondosha ugonjwa huu.

Ninadhani itakuwa kutowatendea haki wazamivu hawa kutotambua kuwa karata pekee aliyonayo mkuu huyu kwa kweli iko kwenye kutegemea kuwa hatimaye Beberu atagundua dawa au chanjo!

Hata hivyo kutegemea Beberu usiye na mawasiliano naye, usiye na ushirika naye kwenye hilo, unayemtuhumu kukuchawia kila uchao, nk; ni suala fikirishi kweli kweli kama si kipimo kamili cha uz***wa.

Mengine yote:

1. Kutosikiliza ushauri wowote mwingine
2. Kukataa kupokea simu za marais wenziwe
3. Kumwaga misukule humu jamvini
4. Kurusha jiwe gizani kuwa ligi inakuja
5. Kurusha jiwe gizani kuwa uchaguzi mkuu unakuja
6. Kutuma ndege Antananarivo kufuata kikombe cha babu
7. Kufuka nyungu
8. Maombezi
9. Mapapai, mbuzi, oil nk kupimwa Corona
10. Nk, nk

Yote ni janja ya nyani, akisubiria dodo kwenye mnazi huku akiendelea sisi kutochomesha mahindi.

Akiyafanya yote haya yeye yuko salama Chatto nyumbani kwake, mbali na hilu epicenter la huu ugonjwa.

Sisi katuachia jiji letu tuukabili muziki wake huku tukipukutika!
Ukiwa na kiongozi aliyefanya mitishamba ili kupata nafasi yake basi tegemea mitishamba itawale.
 
Hivi tanzania ni dar es salaam peke yake? Hivi mimi wa simiyu nitasemaje kuwa rais kajificha wakati kanisogelea kwangu. Kwani rais akiwa huko dar ndo tuseme anaongoza nchi ila akiwa mtwara tunasema kajificha! Kwani mi nikienda kwetu tabora kutoka huku kwa wavuvi igombe ntakuwa nimejificha. Kama anajificha kwa ajiri ya corona anajificha nini wakati ni ugonjwa wa dunia na siyo dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana uzi wako ulikosa wachangiaji...gibberish tu ndo naona.

Hivi wewe unaweza hata kuandika uzi?

Unadhani tunaandika kutafuta wachangiaji?

Kumbe wewe hujui kwa nini tunaandika?

Usijali lakini tunajua una chale mgongoni.
 
Msukule unapojimwambafai kutoa pole.

Asante msukule. Pole yako imefika tunateseka sana na hizi tawala za kishirikina.

Asante sana pole zako zimepokelewa.
Mimi hata ukinitukana sijali...mradi nimefikisha ujumbe boss.
 
Mimi hata ukinitukana sijali...mradi nimefikisha ujumbe boss.

Jikite kwenye mada. Huna jipya:

Mzee baba anasubiria dodo kwenye mnazi. Beberu agundue dawa au chanjo. Kabla ya hapo hata yeye hatuko mafichoni.

Huo ndiyo ujumbe wa wazi ulioko kwenye mada. Mengine kama unayo anzisha uzi.

Short of that huelewi unataka nini au hutaki nini. Huo ndiyo msukule.

Misukule si tusi. Ni art ya kutojitambua tu kama unavyoonekana kuwa.
 
Jikite kwenye mada. Huna jipya:

Mzee baba anasubiria dodo kwenye mnazi. Beberu agundue dawa au chanjo. Kabla ya hapo hata yeye hatuko mafichoni.

Huo ndiyo ujumbe wa wazi ulioko kwenye mada. Mengine kama unayo anzisha uzi.

Short of that huelewi unataka nini au hutaki nini. Huo ndiyo msukule.

Misukule si tusi. Ni art ya kutojitambua tu kama unavyoonekana kuwa.
Dah ningekuwa sijitambui sidhani kama ningefikia hapa nilipo...Ila kaka siku zote usilazimishe ufanane interest na mtu au usimlazimishe muendane mitazamo.Wewe unapenda rangi nyekundu ila jua kuna wanaopenda blue,green n.k..Ndo ipo hivyo yaani...So what should you do? Just stay in your lane.
 
Dah ningekuwa sijitambui sidhani kama ningefikia hapa nilipo...Ila kaka siku zote usilazimishe ufanane interest na mtu au usimlazimishe muendane mitazamo.Wewe unapenda rangi nyekundu ila jua kuna wanaopenda blue,green n.k..Ndo ipo hivyo yaani...So what should you do? Just stay in your lane.

Tafadhali nipe muda nafuka nyungu hapa.

You are wasting my time.

Bye bye amigo please don't even mind to write back.
 
Hivi tanzania ni dar es salaam peke yake? Hivi mimi wa simiyu nitasemaje kuwa rais kajificha wakati kanisogelea kwangu. Kwani rais akiwa huko dar ndo tuseme anaongoza nchi ila akiwa mtwara tunasema kajificha! Kwani mi nikienda kwetu tabora kutoka huku kwa wavuvi igombe ntakuwa nimejificha. Kama anajificha kwa ajiri ya corona anajificha nini wakati ni ugonjwa wa dunia na siyo dar

Sent using Jamii Forums mobile app

ndo maono ya cdm mtu akiwa ruvuma kajificha akiwa dar ndo yuko tanzania, infact hizi comments ndo zimenifanya hata niangalie uwezekano wa NCCR ingawa bado hakijapata nguvu sana ila tunaamini wataleta upinzani imara wenye hoja za msingi sio hawa uchwara
 
Back
Top Bottom