FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Nimeshtuka, Wazungu ni wajanja, wanatuzuga wana Corona kumbe haipo kwa kiwango kinachotangazwa, ili tu wahamiaji wakate tamaa, ukweli ni kwamba Corona ilishaisha mfano hai watu waliandamana kwa maelfu lakini hakuna aliyekufa, Wazungu fungueni mipaka tuje.
Asante.
Asante.