Mpogoro
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 386
- 58
Kuna ndugu yangu mmoja anatarajia kufanya project itakayotumia muziki wa hapa nyumbani.
Je,ni kwa namna gani anaweza kurejesha mapesa ya wasanii kwa wahusika?
Je, ukiachana na COSOTA ambayo wasanii wenyewe wanailalamikia, kuna chombo chochote kinachoweza kushugulikia maslahi ya wasanii au the best approach ni kuwasiliana na mwanamziki mmoja mmoja?
Je,ni kwa namna gani anaweza kurejesha mapesa ya wasanii kwa wahusika?
Je, ukiachana na COSOTA ambayo wasanii wenyewe wanailalamikia, kuna chombo chochote kinachoweza kushugulikia maslahi ya wasanii au the best approach ni kuwasiliana na mwanamziki mmoja mmoja?