120K jombaa mbona haitoshi hata nauli....!! Ongeza ongeza uwe na huruma...!! vijana wapo desperate tusiwavunje moyo
Watu wanafanya kazi stationary wana type na kufanya kazi zote kwa laki mkuu. Hii ni mwanzo watu niliowachagua kufanya nao kazi nitawaongeza kutokana na performance yao huenda baada ya muda ikafka hata laki tatu kwa mwezi it is a matter of time na mambo yaende sawa.SIJAELEWA HII CHINI (kuandika kwa lugha yako mwenyewe)
“Kazi ninayotaka kufanyiwa ni kwamba ninakupa article au llink unaiandika upya kwa kutwist maneno au kwa lugha yako yenyewe. (Siyo kwamba unaisummerize hapana).”
NA HAPA ( Una run vipi)
“Then uta irun katika platforms kadhaa nikauelekeza kabla ya kuinitumia.”
NA HAPA UNGEANZA KUTOA ADVANCE KAZI YA KU-TYPE MWEZI MZIMA UKIWA UJAPEWA PESA
“Malipo ni kwa mwezi na yanaweza kuongezeka mwezi unaofuata kama utaperform vizuri.”
.............
Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza hiyo nipo mkoa wa kigoma nsmba yangu ni 0688065853SIJAELEWA HII CHINI (kuandika kwa lugha yako mwenyewe)
“Kazi ninayotaka kufanyiwa ni kwamba ninakupa article au llink unaiandika upya kwa kutwist maneno au kwa lugha yako yenyewe. (Siyo kwamba unaisummerize hapana).”
NA HAPA ( Una run vipi)
“Then uta irun katika platforms kadhaa nikauelekeza kabla ya kuinitumia.”
NA HAPA UNGEANZA KUTOA ADVANCE KAZI YA KU-TYPE MWEZI MZIMA UKIWA UJAPEWA PESA
“Malipo ni kwa mwezi na yanaweza kuongezeka mwezi unaofuata kama utaperform vizuri.”
.............
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu tayari wapo kazini, wewe bado una negotiate120K jombaa mbona haitoshi hata nauli....!! Ongeza ongeza uwe na huruma...!! vijana wapo desperate tusiwavunje moyo
Nipe kazi boss.Nashukuru Nimekwishapata watu niliokuwa nawataka ngoja nianze na hawa kwanza
Ikifika awamu ya pili kiongozi usinisahau 0717082743Nashukuru Nimekwishapata watu niliokuwa nawataka ngoja nianze na hawa kwanza
mbona mm siko kweny listNashukuru Nimekwishapata watu niliokuwa nawataka ngoja nianze na hawa kwanza