loulla
Senior Member
- Jun 11, 2016
- 125
- 90
Habari wanajamii forum, naomba msaada kutoka kwa mwanafunzi yoyote alieomba mkopo mwaka wa masomo 2016/2017 akiwa kama continuous student ani dm. Ninashida ya kutambua kama batch ilitoa, maana mpaka dakika ya mwisho nafatilia walikua hawajashughurikia kwa continuous students, na sasa naskia kuna continuous waliopata nao wamejua sasa.
Asanteni.
Asanteni.