Nyongeza- wanatoa huduma paka mikoani? Me nipo arusha naitaji huduma yao dstv wananimaliza wakuu!abu dhabi sports
wana ofisi tz????
au website yao????
Mkuu kiukeli Zuku hawawezi kuwa mbadala wa Dstv hata siku moja. Watu wengi tunatumia DSTV kwa ajili ya live sports esp. football, sasa channel pekee ya football waliyonayo Zuku ni Setanta Africa ambayo hata Star Time ipo. So, kama unataka Zuku kwa ajili ya sports, utaibiwa.
Kuna alternative mbili unaweza tumia.
1. Nunua receiver ambayo ni MPEG4 compatible, kisha uwatafute mafundi wa ukweli wakufanyie installation ya dish lako vizuri, utaweza kupata channels za maana ambapo utaweza kufurahia mwenyewe.
2. Kuna vishoka wanaweza kuchakachua hizo decoders za Dstv ambapo unaweza kutumia bila usumbufu. Jinsi ya kuwapata hao vishoka, tembelea thread hii.
Mkuu, nadhani huwajuhi ZUKU TV vizuri wanakuja kuwazimisha DSTV, Zuku wamezindua juzi unataka waonyeshe ligi ya Uingereza na Italy? Hunajua kama Zuku wameishasign kuonyesha ligi ya Uingereza na Italy msimu ujao?
msimu ujao upi wewe kauzuMkuu, nadhani huwajuhi ZUKU TV vizuri wanakuja kuwazimisha DSTV, Zuku wamezindua juzi unataka waonyeshe ligi ya Uingereza na Italy? Hunajua kama Zuku wameishasign kuonyesha ligi ya Uingereza na Italy msimu ujao?