Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,954
- 12,913
Ndio.Walikuwa Na mbunye moja?
Ndio.Walikuwa Na mbunye moja?
kulikua na uwezekano wa m1 kufa na mwinginekubaki hai??
kama m1 alipatwa na ugonjwa wa moyo lazima na mwingine aupate?
Swala laubikra umetumia kipimo gan mkuuMaiti hajui lolote. Hata wasipozikwa Na jeneza hamna shida.
Bora wamekufa wakiwa bikira.
Muwe mnaangalia na style ya kutafuta watoto,Maisha mengine bana bora kutozaliwa tu
K ni K by romaSijajua kwa nini me muda mwingi wanawaza k tyu
Madaktari waje wajibu swali hili maana nilikuwa nawaza the samekulikua na uwezekano wa m1 kufa na mwinginekubaki hai??
kama m1 alipatwa na ugonjwa wa moyo lazima na mwingine aupate?
Bangi mbaya sana!Maiti hajui lolote. Hata wasipozikwa Na jeneza hamna shida.
Bora wamekufa wakiwa bikira.
Mkuu usijaribu hata ku imagine what Consolata felt to see her beloved anakata roho....ooopppsssss....Jina la bwana lihimidiwe.....Ni maumivu makubwa sana aliyopata Consolata baada ya kuona rafiki yake na ndugu yake kashafariki.
Utukufu wa Mungu uwe wa milele
We jamaa banaMaiti hajui lolote. Hata wasipozikwa Na jeneza hamna shida.
Bora wamekufa wakiwa bikira.
Maiti hajui lolote. Hata wasipozikwa Na jeneza hamna shida.
Bora wamekufa wakiwa bikira.
Kila kitu ni mipango ya Mungu yeye ndo anajua sababuMaisha mengine bana bora kutozaliwa tu
Inawezekana Wakati mwenzake anakufa ye alikua hana fahamuHuenda asingekufa kama asingeona mwenzie kafa
Maisha mengine bana bora kutozaliwa tu
Mbn wanasema huyo mwingine "Alisaidiwa " kuaga dunia!Hivi ingetokea mmoja tu akafariki ingekuwaje Rip mapacha