Marshall plan
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 644
- 980
Karantini imekufundishaee😂
Hujaelewa au ulitaka mabombastic... acha ushamba wa debates za sekondari kwanza kujidai mauzungu mengi vijana wamejikuta wameolewa huko majuu dadadeki!!Si ungeandika Kiswahili tu 😀
Povu la nini sasa? Uwe unaandika tu Kiswahili. Sawa?Hujaelewa au ulitaka mabombastic... acha ushamba wa debates za sekondari kwanza kujidai mauzungu mengi vijana wamejikuta wameolewa huko majuu dadadeki!!
hicho mi kinatosha namshinda hata prezoo we fala nini? we ongea chako cha puani wakati unalipua lineneee hahahaaa
Once the thread is here everyone is free to give opinions in any possible language he/she wants!! Chill baby boy we don't have whites here I know you wish you were!! Kosoa nilipokosea sio use me nisikitumie we vipi bhana!!Povu la nini sasa? Uwe unaandika tu Kiswahili. Sawa?
Once the thread is here everyone is free to give opinions in any possible way he/she wants!! Chill baby boy we don't have whites here I know you wish you were!!
Niliskia MTU aliyeolewa na Mzungu ukikikosra inamuuuuuma wanaona kizungu kamachao wakati ukibofoa kwa mzungu yeye anaona poa tuu hahahahaaa
Namimi natoa maoni yangu pia!! Mzungu akibofoa kiswahili mnamsiiifu na kumpamba you r good! Very gooood!!!I’m also giving my opinion, too.
Or am I not allowed to?
Uwe unaandika tu kwa Kiswahili. Ni maoni yangu.Namimi natoa maoni yangu pia!! Mzungu akibofoa kiswahili mnamsiiifu na kumpamba you r good! Very gooood!!!
Lkn kinyume mswahili akichemka kingreza mnamwambia acha! acha! Unatia aibu... Fikra zakitumwa!!! My opinion
Mwanangu andika Kiswahili.Once the thread is here everyone is free to give opinions in any possible language he/she wants!! Chill baby boy we don't have whites here I know you wish you were!! Kosoa nilipokosea sio use me nisikitumie we vipi bhana!!
Niliskia MTU aliyeolewa na Mzungu ukikikosea inamuuuuuma wanaona kizungu kamachao wakati ukibofoa kwa mzungu yeye anaona poa tuu hahahahaaa
Mwanangu andika Kiswahili.
Ngeli waachie NN na Kiranga.
Usiwe mbishi. !
Sikiachiii am good in this more than in Swahili "yuu no wara miiin"Uwe unaandika tu kwa Kiswahili. Ni maoni yangu.