Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,557
- 3,903
Hapa kwenye picha kuna waya ambao una terminal nyekundu na nyeupe unatoka kwenye subwoofer na kuingia kwenye TV waya huo kama. unavyouona upande wa pili una interface ya kuingia kwenye TV lakini connection hii haifanyi kazi.
Lengo langu ni sauti kutoka kwenye TV isikike kwenye subwoofer.Subwoofer ina option 3 Aux,Bluetooth na FM.Bila.shaka hii connection inahitaji mode ya Aux.
Tatizo linaweza kuwa nini wataalamu?
Huu waya wenye termina nyekundu na nyeupei,upande wa pili waya huu una pini kama unavyouona ambayo inaingia kwenye poti fulani ya TV ambayo inaonekana kwenye picha hii chini
CHIEF MKWAWA sema neno na tatizo hili litakwisha
Lengo langu ni sauti kutoka kwenye TV isikike kwenye subwoofer.Subwoofer ina option 3 Aux,Bluetooth na FM.Bila.shaka hii connection inahitaji mode ya Aux.
Tatizo linaweza kuwa nini wataalamu?
Huu waya wenye termina nyekundu na nyeupei,upande wa pili waya huu una pini kama unavyouona ambayo inaingia kwenye poti fulani ya TV ambayo inaonekana kwenye picha hii chini
CHIEF MKWAWA sema neno na tatizo hili litakwisha