Mr.Duttu
Member
- Nov 7, 2015
- 91
- 57
Wadau leo nataka kujua mambo kazaa mawili matatu katika Ajira apa Tanzania.
1. Connection ni nini?
2. Connection zinapatikana wapi?
3. Ni nani anastahili kupewa connection na yupi hastahili connection?
4. Share na sisi moja ya connection uliyowai kuishuhudia ama uliyowai kunufaika nao kwa ujumla katika swala la ajira. Na ni kwanini watu wengi tunaoitaji ajira tunajikuta tunaamini sana katika connection kuliko kupambana binafsi?
1. Connection ni nini?
2. Connection zinapatikana wapi?
3. Ni nani anastahili kupewa connection na yupi hastahili connection?
4. Share na sisi moja ya connection uliyowai kuishuhudia ama uliyowai kunufaika nao kwa ujumla katika swala la ajira. Na ni kwanini watu wengi tunaoitaji ajira tunajikuta tunaamini sana katika connection kuliko kupambana binafsi?