Uchokozi
Sasa hiyo tuzo gani aliyo shika,,,, hapana mkuu najaribu kumpongeza tu maana mashabiki uchwara wanabeza tuzo ya mnyama Messi wanasema eti angepewa VVD eti kisa kabeba kakombe kamoja ka UCL wanasahau Ramos kabeba mara tatu mfululizo lkn hajapewa stupidity
Nafikiri ndio mchezaji bora kwa ligi ya EnglandHuyu jamaa kama angalikuwa ngozi nyeupe asingekauka midomoni mwa watu.
Kweli kabisa mkuuHuyu jamaa kama angalikuwa ngozi nyeupe asingekauka midomoni mwa watu.