Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Gari ambayo ilikua inatoka kubeba mbao imeshambuliwa na vikundi vya waasi eneo la Ilingeti Kivu ya kaskazini na watu waliokuwemo kuwawa.
Na habari nyingine usiku wa kuamkia leo majambazi wamevamia ofisi moja ya kiserikali na kuwauwa askari polisi wawili.
Polisi walijarubu kujibu mapigo na kumlaza jambazi mmoja ambae anaonekana kwenye picha.View attachment 791614
View attachment 791617
Na habari nyingine usiku wa kuamkia leo majambazi wamevamia ofisi moja ya kiserikali na kuwauwa askari polisi wawili.
Polisi walijarubu kujibu mapigo na kumlaza jambazi mmoja ambae anaonekana kwenye picha.View attachment 791614