Marekani imemshinikiza Rais wa Congo DRC Joseph Kabila kutangaza kuwa hatogombea tena katika uchaguzi ujao wa Disemba 23.
Hatua hiyo ya Marekani imekuja baada ya mataifa ya Ufaransa na Uingereza kufanya hivyo siku zilizopita.
Wiki iliyopita Kabila alitarajiwa kuwa angetangaza Bungeni nia yake ya kuwania urais wa kuiongoza Congo kwa muhula mwingine tena lakini ameacha watu wakihisi juu ya nia yake.
#My take hii ndiyo dawa kwa madikteta wote barani Afrika wanaozifanya nchi kama mali zao binafsi.
Hatua hiyo ya Marekani imekuja baada ya mataifa ya Ufaransa na Uingereza kufanya hivyo siku zilizopita.
Wiki iliyopita Kabila alitarajiwa kuwa angetangaza Bungeni nia yake ya kuwania urais wa kuiongoza Congo kwa muhula mwingine tena lakini ameacha watu wakihisi juu ya nia yake.
#My take hii ndiyo dawa kwa madikteta wote barani Afrika wanaozifanya nchi kama mali zao binafsi.
Last edited: