chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Wana mwanza nawapongeza sana hakika mmefanya maamuzi ya makubwa na ya busara sasa tunasubiria kifo cha
mzee wa star tv nadhani hatasalimika
Duh ila naskia wananchi wamefanya kufuru Jengo la jiji vioo vyote vimevunjwa na baadhi ya nyumba zimechomwa moto
aliyeko ktk tukio atupe tathmini
mzee wa star tv nadhani hatasalimika
Duh ila naskia wananchi wamefanya kufuru Jengo la jiji vioo vyote vimevunjwa na baadhi ya nyumba zimechomwa moto
aliyeko ktk tukio atupe tathmini