Hatimae majira ya saa 1 kasoro kumi hivi mwanza kimeeleweka kwa kura 38elf za wenje dhidi ya 27elf za masha wa nyamagana.. Sasa nina amani maana shinyanga nayo pameeleweka na maswa zote mbili pia meatu.. Hongereni wapiganaji
Sherehe sasa chadema inabidi muwe makini sana ule uchaga uchaga ule muuondoe.wATU WAMECHOKA NA MAFISADI,Wamechoka kufannywa mgongo wa kutajirisha watu kama kina masha
Penye shari mungu huweka shari na penye heri mungu huweka heri pia,byebye masha utabebwa kivingine viti maaalumu ila kwa sasa kula hazitoshi,no matter how money you have peoplessssss powerrrrr always shout
byebyebyebyebyebyebye mashaaaaaaaaaaa
Ati Masha ndo alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Ipo haja ya kubadili KATIBA if possible mawaziri wasiwe wabunge/wanasiasa kabisa. Ziwe kazi za kitaalamu akina Consultant tuziombe kama kawaida.
Au kama vipi, iwe clear mida kama hii wizara ya mambo ya ndani ipo chini ya uangalizi wa nani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.