Elections 2010 CONFIRMED: Ndesamburo ashinda Moshi mjini

chokambayaa

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
543
69
Ndesamburo wa CHADEMA kapeta kwa kura 28,997 anayefuatia
Chadema inatisha Mkubwa!!
 
Ila Chama cha upinzani kitakuwa CUF, maana Zanziba Pemba wana majimbo 18, Unguja Majimbo 4 bado huku Bara.
 
Ila Chama cha upinzani kitakuwa CUF, maana Zanziba Pemba wana majimbo 18, Unguja Majimbo 4 bado huku Bara.

hivi hawa wabunge sijui wawakilishi wa cuf huko pemba na unguja wote wanaingia bunge la muungano,au utaratibu ukoje?
 
Back
Top Bottom