Confirmed: Msichana Aliyepanga Nyumba

Mh..!! Mnatutisha sasa watafutaji .

acha masihara bwan tunawatisha wakati ndo m nafurahia
mnapata pa kutelezea mara oooh nilale leo tuuu
mara kahamishia na mabegi
mara u know its wonderful bed .....ohhh nice river in the bed
good bed cove mara makoch mara kabati ya mbeho..... olaleeeee
siku ya siku ndo soks kaacha
mara begi ....... ehhh kuja kuhamaki keshageuka mzaire asalaallee mzee kahamia.....
 
Hata baibo inasema hivi kwa mwanaume na sio mwanamke.

Mwanzo.2:24 anasema, “Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili moja”.
kaka jamabazi usije ukapigwa kama hivyo in your avtar kwa ku confuse bible, hiyo statment haimaanisha ndo mtu akae home jamani kama job ni posta wazazi wamejenga kibaha does it make senc eti nikakae home nichelewe job au........ am sorry kama vip mkaoe walioko vijijini ambao hawakai mbalina wazazi mie sitaki shari mwaka nikauanza vibaya bure
 
hiyo sio excuse,,msichana hapaswa kuhama kwao no matter awe na umri gani.
mkuu fikiri kidogo,
dada yako anafanya kazi kiwanda cha wazo. Familia yote mnaishi mbagala. Kuna ubaya gani akitafuta chumba maeneo karibu na wazo? Hawa watu hawafugiki na wala hawalindwi au kuchungwa........akiamua kaamua hata awe ndani ya geti kali namna gani.
 
ntaendelea kupanga niolewe nisiolewe yote ni mipango ya mungu after all nafanya nacho ona mm ni sahii kama ananipenda atanifata kokote tu sio lazima nikae nyumbani ndo ajue mm ni mke mwema,naweza kuwa nyumbani kutwa natoroka mpaka mzazi anatamani nihame maana ni kero,kupanga kwangu kunanifunsha maisha tofauti na nyumbani nakuwa makini zaidi ktk kila nilifanyalo!viva kupanga for indipendent ladies.
endelea hivyo hivyo bibie. Mkataba ukiisha usirudishe chumba eti urudi kwa wazazi.
 
anataka kuwa huru kufanya chochote atakachoamua...kubadilisha wanaume wowote atakaowataka...huu ndo ukweli wenyewe.
 
mkuu fikiri kidogo,
dada yako anafanya kazi kiwanda cha wazo. Familia yote mnaishi mbagala. Kuna ubaya gani akitafuta chumba maeneo karibu na wazo? Hawa watu hawafugiki na wala hawalindwi au kuchungwa........akiamua kaamua hata awe ndani ya geti kali namna gani.

Asante kaka angu, mie sio ng'ombe unifunge kamba,
Nina akili na utashi wa kujua jema na baya,
Hiyo red hapo umesema ukweli tupu.
 
anataka kuwa huru kufanya chochote atakachoamua...kubadilisha wanaume wowote atakaowataka...huu ndo ukweli wenyewe.

Hata nikiwa kwa baba/mama/kaka/ mjomba nikiamua kufanya hayo nafanya,
Bado hicho sio kigezo, Maisha ni vile nimeamua kuishi/kuchagua.
 
acha masihara bwan tunawatisha wakati ndo m nafurahia
mnapata pa kutelezea mara oooh nilale leo tuuu
mara kahamishia na mabegi
mara u know its wonderful bed .....ohhh nice river in the bed
good bed cove mara makoch mara kabati ya mbeho..... olaleeeee
siku ya siku ndo soks kaacha
mara begi ....... ehhh kuja kuhamaki keshageuka mzaire asalaallee mzee kahamia.....



Sawa mama,sina la kusema na hivi waswahili walishasema samaki mmoja akioza wameoza wote basi na msemo huo ndo mnautumia.Lakini ukumbuke kuwa hata siku moja mwanaume wa ki TZ hawezi fanana na hao mamario uliowataja hapo.Na akiwa hivyo basi tutakuwa na mashaka naye.
 
wacha mawazo mgando!sijaona ni kwa nini asipange kama anawaza kujitegemea.huyo ndio mwanamke wa kuoa kwani si tegemezi kwa saana!
 
I for one started being independent the minute I joined UDSM no one supported me todate! I also left home from when I joined because I secured my own place...its 13yrs(4yrs study time inclusive ) since being independent and its 10th year of our annivesary this year (God willing )I think am a wife material over n over !
Eng Nsiande


Dada punguza kiingereza ujue wenzio hatukijui vizuri kutokana na kukosa fulsa za elimu sema tu Mungu katujalia tupesa twa laputopu, nasi tunapenda tufurahie hili jukwaa!!!!!!!!
 
Hiyo sio excuse,,msichana hapaswa kuhama kwao no matter awe na umri gani.
Embu acha maneno ya ajabu wewe!Kuhama tutahama na ndoa zitatangazwa sana tu!Na nyie ndo mnaokuja kulia baadae mke anamwachia beki 3 kazi zote sasa sijui unategemea nini kama kwao alikua anafanyiwa kila kitu!!Kujitegemea ni moja ya maandalizi ya ndoa..mtu anaejua kujijali mwenyewe hashindwi kumjali mwenzi wake!Kukaa kwa wazazi hakujapigwa muhuri wa ndoa
so ondoa mawazo potofu uliyonayo!
 
ndio maana hatuendelei kwa mawazo mgando kama haya,nikishapata kazi napaswa kujitegemea,utakuta majumbani mwetu tunafuga mibaba na mimama ya miaka zaidi ya 25 tukiyaita watoto,inahusu!!!

jamani jamani we kaka jambaz mböna hivyo? Shost nn miaka 25 mi nina 37 eti bado niendelee kukaa kwa wazazi kisa nitakua c mke mwema lol hii kali, ss bora kuna m2 kasema kwa wazazi na kazini anapanda daladala 2 mimi kwangu na kwa wazazi ni dk tano 2 so mimi naona kwa utafiti wa jambazi ndo ctaolewa kabisa mwe
 
Msichana ambaye hajaolewa na ameamua kupanga nyumba ya kuishi huku anaishi mji mmoja na wazazi au walezi wake, sio wife material.

Swali la kujiuliza kwanini ameamua kupanga??

Hiyo labda kwa mtoto wa kishua, uswazi huyo binti ni shujaa kwani chumba kimoja familia ya watu nane si mchezo babake
 
acha masihara bwan tunawatisha wakati ndo m nafurahia
mnapata pa kutelezea mara oooh nilale leo tuuu
mara kahamishia na mabegi
mara u know its wonderful bed .....ohhh nice river in the bed
good bed cove mara makoch mara kabati ya mbeho..... olaleeeee
siku ya siku ndo soks kaacha
mara begi ....... ehhh kuja kuhamaki keshageuka mzaire asalaallee mzee kahamia.....

hahahahhhhaaaaa habar yake marioooo yaani wewe kesho nikifika kwa mkoloni nitakugongea thanks kumi maana haka kamchina kanagoma lol
 
Sawa mama,sina la kusema na hivi waswahili walishasema samaki mmoja akioza wameoza wote basi na msemo huo ndo mnautumia.Lakini ukumbuke kuwa hata siku moja mwanaume wa ki TZ hawezi fanana na hao mamario uliowataja hapo.Na akiwa hivyo basi tutakuwa na mashaka naye.

pole kaka angu unasema mwanaume wa tz hawez kuwa kama alivyosema wakuchakachua wapo tena wengi 2 wengine na elimu zao kichwani, wacha kabisa inabidi hata nyinyi wababa mlipinge hili labda wakiona wataacha maana 2kisema sisi mna2pinga na pengine mnawatetea lakini amini wapo tena wanazidi kuwa wengi
 
The Following 5 Users Say Thank You to Pearl For This Useful Post:

katelero (Today), Msindima (Yesterday), safina (Yesterday), Tall (Yesterday), Wakuchakachua (Yesterday)




?????????:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::help::thinking::confused2::confused2::confused2:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom