chadema wamechukua jimbo la mbozi mashariki, kama ilivotangazwa na star tv. chademaaa juuuuuuuu:evil:
Nimefurahi sana kusikia kijana Silinde ameshinda. Simfahamu lakini nimependa sifa nilizosikia juu yake. Nimtetezi wa kweli. Hongera Silinde. Hongera Chadema.