Elections 2010 CONFIRMED: Lindi Mjini - Abdulazizi ameenda na maji, CUF wachukua jimbo

Sikiliza! Kilio kinasikika kutoka babuloni! Kishindo cha maangamizi makubwa kutoka nchi ya wakaldayo! Maana mimi Mwenyezi-Mungu naingamiza Babuloni, na kuikomesha kelele yake kubwa. Adui anaunguruma kama mawimbi ya maji mengi, sauti ya kishindo chako inaongezeka. Naam, mwangamizi anaijia Babuloni; askari wake wametekwa, pinde zao zimevunjwavunjwa. Mimi Mwenyezi-Mungu ni Mungu mwenye kuadhibu, hakika mimi nitalipiza kisasi kamili.

Unataka kunitoa machaozi!
 
Aliawaona mazoba eti Kisa ana uhusiano sijui na JK au Mama Salma na ndo Kibri inakotoka uko.
Hajuizama izi watu wanajilipua
 
A second revolution is quietly taking shaping in Tanzania and the World is totally asleep................
 
Napata taarifa hapa Mheshimiwa mgombea wa CUF Barwan ambaye ni mlemavu wa ngozi ameshinda kiti cha ubunge na mbunge mtetezi Abdulaziz ameconcede matokeo!

Source: BBC Swahili
 
Walitaka "kuchakachua" ikashindikana - and the GOOD NEWS ni kuwa mshindi ni mlemavu wa ngozi
 
Afadhali ameshinda. Yule mkuu wa Mkoa alifanya makosa makubwa kumtukana yule mgonjwa wa ngozi. Amepata adhabu anayostahili.
 
Asante Mungu jina la Tanzania litasafishika kimataifa tulikuwa tunalaumiwa kwa kuwauwa leo tumemchagua Albino.
 
huyu jamaa si ndiye aliyesema kuwa maalbino wana ukosefu wa vitamin c?
Naona wana lindi wamemuadhibu.
Viva opposition
kampeni yake ya mwisho alisema jamaa albino wanatoa harufu mbaya hawezi kuingia mjengoni, yule jamaa ana kashfa mbaya. Samahani walemavu wa ngozi ila huyu jamaa kaongea hayo
 
WASHKAJI KIKWETE KUTUONGOZA KWA MARA NYINGINE NI SAWA NA KUMBAKA MTOTO MCHANGA,SABABU MTOTO MCHANGA HANA MAAMUZI SAHIHI.CCM MTAJI WAO UMEKUWA NI WATU AMBAO NI WAJINGA NA WASIO TAKA MABADILKO WAZEE NA MAFISADI.SO SORRY FOR DA JK COZ SHE got big no. of peoples hates her administration.:rip:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom